Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasanii ni wasanii hiyo kesi itaisha kwa kuombana misamaha tu
AiseeBaada ya Mwemba Burton maarufu @mwijaku kusema na kuandika maneno ya udhalilishaji kwa msanii @mauasama hivi karibuni amejikuta akikalia kuti kavu baada ya Maua Sama kupitia Wakili wake, Claudio Msando kutoka kampuni ya Mawakili na Wanasheria ya Msando Law Office iliyopo Jijini Dar es Salaam – Tanzania, kumuandikia Mwijaku hati ya madai na kumpa Masaa 24 ya kujibu tuhuma hizo za udhalilishaji ikiwa ni pamoja na fidia ya Fedha za Kitanzania TZS Milioni 300.
Endapo atashindwa kufanya hivyo, basi atapelekwa Mahakamani na hatua nyingine za Kisheria zitafuata
Hata hii ya Kipanya nayo itaisha kama ya mauaHatutaona mwendelezo wa kesi watamalizana.
Spot onWasanii ni wasanii hiyo kesi itaisha kwa kuombana misamaha tu
.Msando huwa Yuko vizuri, ngoja tuone.