Mwijaku aandikiwa hati ya Madai ya Tsh. Milioni 300 kwa kumdhalilisha Maua Sama

Aisee
 
Mwenzake Babalevo anaongea kistarabu, ila huyu Mwemba na Dotto shida tupu, lugha zao siyo za staha.
 
Ifike wakati Mwijaku ajifunxe kwa Baba Levo. Siyo kila neno lazima litoke, chagua maneno ya kutoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…