Mwijaku afikishwa Kisutu na kushtakiwa kusambaza picha za utupu. Ashindwa kutimiza masharti ya dhamana

Nimekuelewa ila imekaa muda mpaka tulianza kusahau, nikaona huyu jamaa alivyo na maadui labda kuna mtu kamtia nguvu menina asumbue kidogo
 
Menina alimstaki mwijaku muda kidogo baada ya uvujwaji wa ile video ila kutokana na kesi nyinyi za Tanzania especially zinazohusisha ushahidi zinachukuwa muda mrefu ndio maana umeona hukumu ndio imetoka leo
Sawa sawa chief... Ila huyu jamaa jinga sana unamla mtoto mzuri vile halafu anavujisha heshima ipo wapi kwenye jamii inayotuzunguka kuzalilisha wanawake, wampige faini na mvua kadhaa, ili pia iwe funzo kwa vichaa wengine wenye ujinga wa kuchafua wakina mama
 
Mwijaku ni mfano wa watu wajinga wajinga lakini media hizi bongo zinapenda watu wa aina hii ndio maana wengi wanaajiriwa
 
HV unamuajirije mtu kama mwijaku alfu anakwenda kuwa muahamasishsaji wa royal tour balafekoniii
 
Huyu akienda jela akitoka atakuwa na utimamu sawa sawa.
 
Huyu mpuuzi yumo ktk ile kamati ya Taifa Star.

Hakika naomba tusiende mbali.
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† , Pia alisema Simba ikifungwa atatembea uchi , Simba ilifungwa akagoma kutembea Uchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…