Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,893
- 47,768
Nimekuelewa ila imekaa muda mpaka tulianza kusahau, nikaona huyu jamaa alivyo na maadui labda kuna mtu kamtia nguvu menina asumbue kidogoKesi haijafunguliwa upya bali ilikuwepo na ilikuwa inaendelea.
.
Kukutwa na kesi ya kujibu si kwamba umekutwa na hatia.
.
Bali Hakimu ameona kwamba kulikuwa na sababu za kuonesha kwamba sheria ilivunjwa.
.
Sio GUILD VERDICT.Guilt verdict inafikiwa baada ya utetezi kuleta HOJA zao pamoja mashahidi wao ili kuthibitisha innocense yao.
.
Sasa Katika hatua hii DPP anaweza kuleta ombi la kutokutaka kuendelea na kesi
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app