Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani huyo mtoto kampa milioni?
Hatumii bangi huyu jamaa? au madawa?
hizo ni content pia. mwijaku ana degree ya creative arts ya udsmKama ni kweli havunji katiba ya nchi na wala hamkufuru Mungu basi yuko sawa kwa anachofanya
Kila mtu ana namna yake ya kutafuta
Huo ndio ukweli, wapumbavu ndio wataishi kufurahisha wanaowatizama.Mwijaku anasema ukiwasikiliza watu utakufa maskini. Epuka watu wanaokuambia unajidharirisha, fainali ni uzeeni.
bongo upumbavu ndio unalipa,jitoe akili afanye maisha hata ikulu utaingia kwa kufanya upumbavu.
Wewe utakuwa wapi? Unacho?Yani mpka miaka 30 ijayo bado atakuwa hapo hapo kwenye hicho kijigorofa
Wengi huwa hawajui hili ..we utaona hata humu huu uzi unaeza fika mbali ..jina lake linakua bado liko juuhizo ni content pia. mwijaku ana degree ya creative arts ya udsm
mfano hiyo content itatrend sana na yeye ndio lengo lake kuu kwenye sanaa bunifu
kabisa kabisa.kujifanya fala sio tatizo kikubwa ujue unachofanya kinaleta nini mezani
Mimi nahisi kuna kitu hakipo sawakujishusha kunalipa. nyie mchekeni mwenzenu anaishi maisha mazuri
mwijaku alianza kama content creatorMimi nahisi kuna kitu hakipo sawa
Alianzaje, alianza kama internet personality/commentator au chawa?
Uchawa ndo unamuingizia hela kuliko mishe zake nyingine?
Kuna mambo hayapo wazi
hilo nalo kopo tuMwijaku anasema ukiwasikiliza watu utakufa maskini. Epuka watu wanaokuambia unajidharirisha, fainali ni uzeeni.
Lakini asilimia zaidi ya 90 ya watanzania mpaka wanakufa hata kumiliki hicho kighorofa wanakuwa hawana huo uwezo na wengine hata pesa yao ya pension haiwezi kukijenga kwa muda wote waliofanya kazi.Yani mpka miaka 30 ijayo bado atakuwa hapo hapo kwenye hicho kijigorofa