Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Uchawa unalipa sana mkuu hujajua tu. Yani ni kujitoa ufahamu na kujitoa ufahamu ni kipaji sio rahisi uwe nacho.DIVERSION
ACHA TU YAANIUchawa unalipa sana mkuu hujajua tu. Yani ni kujitoa ufahamu na kujitoa ufahamu ni kipaji sio rahisi uwe nacho.
Some times uchawa huwa unalipaDuuu! Huyu hana lolote zaidi ya kusaka teuzi mpumbavu
Siku hizi uchawa umekuwa zaidi ya vyeti vya chuo mkuu.Some times uchawa huwa unalipa
Hahahabongo wapuuzi wa mitandaoni wanapiga hela vizuri tu,Muna Love akirushurusha manyonyo yake juu kesho yake anapewa ubalozi wa kampuni kubwa ya vinywaji na chakula.