Mwijaku: Juzi niligombana na Mke wangu kwakuwa alikaa chooni muda mrefu

Mwijaku: Juzi niligombana na Mke wangu kwakuwa alikaa chooni muda mrefu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Hivi Mwanaume kabisa Timamu kwa kuwajua Wanawake walivyo na Changamoto zao za Kibaiolojia unaweza kweli kabisa Ukahoji ni kwanini wakienda Vyooni huwa wanakaa muda mrefu? Kuna taarifa fulani niliambiwa kuhusu huyu Jamaa nikawa nabisha ila sasa baada ya huu Upuuzi naanza Kuiamini.

Chanzo cha Taarifa ya Kukasirika kwakuwa Mkewe alikaa sana Chooni, hasa kwa wale Matomaso wa hapa JamiiForums (namaanisha wasioamini) ipo katika Mtandao wa Bongofive piteni huko mkaione na mumuone pia Mkewe ambaye hata siuoni Uzuri wake wowote.
 
mwijaku ni content creator ameamua kurisk heshima yake apate hela hua anaujinga mwingi sana mwijaku too much blunders
Nina list ya Content Creators kadhaa hapo hapo Tanzania hapa Uganda na huko Kimataifani ( Ulaya na Marekani ) ila hawana hizi tabia. au Yeye hii Content Creation yake labda aliisomea University of Fools na akahitimu ya First Class Degree yenye GPA ya 4.5?
 
Mwijaku ni moja kati ya malimbukeni wakubwa mno wa maisha. Hatokuja kustaarabika mpaka kufa kwake.

Mwijaku hana staha ya maisha yake wala ya wenzake, ni swala la muda hata makampuni yataacha kumtumia sababu ya kukosa kwake adabu.
 
Mwijaku ni moja kati ya malimbukeni wakubwa mno wa maisha. Hatokuja kustaarabika mpaka kufa kwake.

Mwijaku hana staha ya maisha yake wala ya wenzake, ni swala la muda hata makampuni yataacha kumtumia sababu ya kukosa kwake adabu.
Na yule Mkewe kila nikimuangalia kwa Jicho langu Tukuka la Kazi Kazi naona kabisa kuna Njemba kadhaa zinamsaidia.
 
Na yule Mkewe kila nikimuangalia kwa Jicho langu Tukuka la Kazi Kazi naona kabisa kuna Njemba kadhaa zinamsaidia.
Usistaajabu hao wasaidizi wakawa wanamtumia huyo huyo Mwijaku kama kuwadi kwa mkewe mwenyewe.

Anataka maisha kwa pupa mno kiasi kwamba anaweza hata kuweka utu wake rehani, hasa kwa wamanga anaopenda kuwashobokea. Chances ni kubwa wamanga washamchezea tope.
 
Mwijaku ni moja kati ya malimbukeni wakubwa mno wa maisha. Hatokuja kustaarabika mpaka kufa kwake.

Mwijaku hana staha ya maisha yake wala ya wenzake, ni swala la muda hata makampuni yataacha kumtumia sababu ya kukosa kwake adabu.
Afu eti alikuwa anaamin akiwa chawa,mama anaweza kumpa uteuzi
 
Back
Top Bottom