Mwijaku: Juzi niligombana na Mke wangu kwakuwa alikaa chooni muda mrefu

Mwijaku: Juzi niligombana na Mke wangu kwakuwa alikaa chooni muda mrefu

Hivi Mwanaume kabisa Timamu kwa kuwajua Wanawake walivyo na Changamoto zao za Kibaiolojia unaweza kweli kabisa Ukahoji ni kwanini wakienda Vyooni huwa wanakaa muda mrefu? Kuna taarifa fulani niliambiwa kuhusu huyu Jamaa nikawa nabisha ila sasa baada ya huu Upuuzi naanza Kuiamini.

Chanzo cha Taarifa ya Kukasirika kwakuwa Mkewe alikaa sana Chooni, hasa kwa wale Matomaso wa hapa JamiiForums (namaanisha wasioamini) ipo katika Mtandao wa Bongofive piteni huko mkaione na mumuone pia Mkewe ambaye hata siuoni Uzuri wake wowote.
Kama ni kweli hayo, huyo ni mpumbavu.
 
Mwijaku ni moja kati ya malimbukeni wakubwa mno wa maisha. Hatokuja kustaarabika mpaka kufa kwake.

Mwijaku hana staha ya maisha yake wala ya wenzake, ni swala la muda hata makampuni yataacha kumtumia sababu ya kukosa kwake adabu.
Makampuni ya bongo ndio yanataka mtu aina ya mwijaku
 
Huu uzi umeditiwa nini ?! Neno 'kuukweka ' mbona silioni tena?
Na bahati mbaya kila wanapojaribu kufuta maneno yangu ya Kiubunifu ndiyo yanakuwa yanapendwa na kutumika na Wengi hapa. Kuukweka maana yake ni kutoa Haja Kubwa ( Kupuu ) na Popoma maana yake ni Mpumbavu na Mkuyenge maana yake Uume.
 
Hivi Mwanaume kabisa Timamu kwa kuwajua Wanawake walivyo na Changamoto zao za Kibaiolojia unaweza kweli kabisa Ukahoji ni kwanini wakienda Vyooni huwa wanakaa muda mrefu? Kuna taarifa fulani niliambiwa kuhusu huyu Jamaa nikawa nabisha ila sasa baada ya huu Upuuzi naanza Kuiamini.

Chanzo cha Taarifa ya Kukasirika kwakuwa Mkewe alikaa sana Chooni, hasa kwa wale Matomaso wa hapa JamiiForums (namaanisha wasioamini) ipo katika Mtandao wa Bongofive piteni huko mkaione na mumuone pia Mkewe ambaye hata siuoni Uzuri wake wowote.
Hamna kibomba humo chooni, isije kuwa DC anapiga mashuti nje ya holi
 
Back
Top Bottom