GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Lazima ucheke na ndiyo maana katika Signature yangu Tukuka na Iliyobarikiwa kuna Neno la Entertainer. Nataka mfurahi.Ila we jamaa, nimecheka sana
Kuna Siku nilimuona akiwa anakata Mauno kama Mwanamke mahala fulani hivyo nikijumlisha nilichoambiwa sishangai.Huyo mwijaku anafanya wanaume wa Dar waonekane wote ni wa hovyo
Nina list ya Content Creators kadhaa hapo hapo Tanzania hapa Uganda na huko Kimataifani ( Ulaya na Marekani ) ila hawana hizi tabia. au Yeye hii Content Creation yake labda aliisomea University of Fools na akahitimu ya First Class Degree yenye GPA ya 4.5?mwijaku ni content creator ameamua kurisk heshima yake apate hela hua anaujinga mwingi sana mwijaku too much blunders
Unaweza ukakuta watu wenyewe mnaowaongelea ni wa Kigoma, lakini nyie mnawaita wa DarHuyo mwijaku anafanya wanaume wa Dar waonekane wote ni wa hovyo
Na yule Mkewe kila nikimuangalia kwa Jicho langu Tukuka la Kazi Kazi naona kabisa kuna Njemba kadhaa zinamsaidia.Mwijaku ni moja kati ya malimbukeni wakubwa mno wa maisha. Hatokuja kustaarabika mpaka kufa kwake.
Mwijaku hana staha ya maisha yake wala ya wenzake, ni swala la muda hata makampuni yataacha kumtumia sababu ya kukosa kwake adabu.
Usistaajabu hao wasaidizi wakawa wanamtumia huyo huyo Mwijaku kama kuwadi kwa mkewe mwenyewe.Na yule Mkewe kila nikimuangalia kwa Jicho langu Tukuka la Kazi Kazi naona kabisa kuna Njemba kadhaa zinamsaidia.
Haha kabisaUnaweza ukakuta watu wenyewe mnaowaongelea ni wa Kigoma, lakini nyie mnawaita wa Dar
Afu eti alikuwa anaamin akiwa chawa,mama anaweza kumpa uteuziMwijaku ni moja kati ya malimbukeni wakubwa mno wa maisha. Hatokuja kustaarabika mpaka kufa kwake.
Mwijaku hana staha ya maisha yake wala ya wenzake, ni swala la muda hata makampuni yataacha kumtumia sababu ya kukosa kwake adabu.
Na lile trako na mahips basi kituko tupu, sijui hata wanaomfurahia wanafurahishwa na nini km sio na wao upinde mwenzaoKuna Siku nilimuona akiwa anakata Mauno kama Mwanamke mahala fulani hivyo nikijumlisha nilichoambiwa sishangai.
Kutokea Beni.Huyo mbuzi hawezi kuwa wa Dar hata siku moja. Huyo muha tu huyo.