Kama ni kweli hayo, huyo ni mpumbavu.Hivi Mwanaume kabisa Timamu kwa kuwajua Wanawake walivyo na Changamoto zao za Kibaiolojia unaweza kweli kabisa Ukahoji ni kwanini wakienda Vyooni huwa wanakaa muda mrefu? Kuna taarifa fulani niliambiwa kuhusu huyu Jamaa nikawa nabisha ila sasa baada ya huu Upuuzi naanza Kuiamini.
Chanzo cha Taarifa ya Kukasirika kwakuwa Mkewe alikaa sana Chooni, hasa kwa wale Matomaso wa hapa JamiiForums (namaanisha wasioamini) ipo katika Mtandao wa Bongofive piteni huko mkaione na mumuone pia Mkewe ambaye hata siuoni Uzuri wake wowote.
Makampuni ya bongo ndio yanataka mtu aina ya mwijakuMwijaku ni moja kati ya malimbukeni wakubwa mno wa maisha. Hatokuja kustaarabika mpaka kufa kwake.
Mwijaku hana staha ya maisha yake wala ya wenzake, ni swala la muda hata makampuni yataacha kumtumia sababu ya kukosa kwake adabu.
Lile jamaa ni national disgraceHuyo mwijaku anafanya wanaume wa Dar waonekane wote ni wa hovyo
Kuwa hana marindaKuna Siku nilimuona akiwa anakata Mauno kama Mwanamke mahala fulani hivyo nikijumlisha nilichoambiwa sishangai.
Anauaisha na kuudhalilisha uislamuKama ni kweli hayo, huyo ni mpumbavu.
Anatia aibu sanaLile jamaa ni national disgrace
Hawezi kuudhalilisha Uislam anajidhadhalisha mwenyewe tu.Anauaisha na kuudhalilisha uislamu
Na bahati mbaya kila wanapojaribu kufuta maneno yangu ya Kiubunifu ndiyo yanakuwa yanapendwa na kutumika na Wengi hapa. Kuukweka maana yake ni kutoa Haja Kubwa ( Kupuu ) na Popoma maana yake ni Mpumbavu na Mkuyenge maana yake Uume.Huu uzi umeditiwa nini ?! Neno 'kuukweka ' mbona silioni tena?
Hamna kibomba humo chooni, isije kuwa DC anapiga mashuti nje ya holiHivi Mwanaume kabisa Timamu kwa kuwajua Wanawake walivyo na Changamoto zao za Kibaiolojia unaweza kweli kabisa Ukahoji ni kwanini wakienda Vyooni huwa wanakaa muda mrefu? Kuna taarifa fulani niliambiwa kuhusu huyu Jamaa nikawa nabisha ila sasa baada ya huu Upuuzi naanza Kuiamini.
Chanzo cha Taarifa ya Kukasirika kwakuwa Mkewe alikaa sana Chooni, hasa kwa wale Matomaso wa hapa JamiiForums (namaanisha wasioamini) ipo katika Mtandao wa Bongofive piteni huko mkaione na mumuone pia Mkewe ambaye hata siuoni Uzuri wake wowote.
Huyo mwijaku anafanya wanaume wa Dar waonekane wote ni wa hovyo
π π π πNa yule Mkewe kila nikimuangalia kwa Jicho langu Tukuka la Kazi Kazi naona kabisa kuna Njemba kadhaa zinamsaidia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na lile trako na mahips basi kituko tupu, sijui hata wanaomfurahia wanafurahishwa na nini km sio na wao upinde mwenzao
Wa kawaida sana, hips bila mguu ni sawa na greda kubebwa na kirikuuNa yule Mkewe kila nikimuangalia kwa Jicho langu Tukuka la Kazi Kazi naona kabisa kuna Njemba kadhaa zinamsaidia.