John Haramba
JF-Expert Member
- Feb 4, 2022
- 365
- 1,374
Mtangazaji na muigizaji, Mwijaku amefunguka sakata la Alikiba na mke wake Amina, akisema kuwa Alikiba hajaitelekeza ndoa yake.
Mwijaku amesema hayo Jumamosi Februari 19, 2022 wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam baada ya kutumwa na Alikiba kumuwakilisha kwenye mkutano huo ambao ulikuwa wa kuzungumzia ujio wa msanii Maher Zain kutoka nchini Sweden, ambaye atakuja Tanzania kufanya shoo na Alikiba Machi 21, 2022.
Wakati akimuwakilisha Alikiba, Mwijaku aliulizwa taarifa zilizosambaa zikidai kuwa mke wa Alikiba ameomba talaka akasema:
“Alikiba hajatelekeza ndoa yake, Ali ni miongoni mwa watu wanaojua kujali familia yake, kinachotokea hapendi kuweka mambo yake mitandaoni, ila tu watu wa pembeni ndiyo wamechangia bi Amina kuwa hivyo alivyo.
“Mimi nimeshafika kwenye familia ya Alikiba najua kinachoendelea, bi Amina amepata bahati ya kuwa na Maisha mazuri.”
Mwijaku amesema hayo Jumamosi Februari 19, 2022 wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam baada ya kutumwa na Alikiba kumuwakilisha kwenye mkutano huo ambao ulikuwa wa kuzungumzia ujio wa msanii Maher Zain kutoka nchini Sweden, ambaye atakuja Tanzania kufanya shoo na Alikiba Machi 21, 2022.
Wakati akimuwakilisha Alikiba, Mwijaku aliulizwa taarifa zilizosambaa zikidai kuwa mke wa Alikiba ameomba talaka akasema:
“Alikiba hajatelekeza ndoa yake, Ali ni miongoni mwa watu wanaojua kujali familia yake, kinachotokea hapendi kuweka mambo yake mitandaoni, ila tu watu wa pembeni ndiyo wamechangia bi Amina kuwa hivyo alivyo.
“Mimi nimeshafika kwenye familia ya Alikiba najua kinachoendelea, bi Amina amepata bahati ya kuwa na Maisha mazuri.”