Sawa forbesCV nzito hipi hiyo unajua maana ya CV wewe?
Joseph Kusaga elimu ya kidato cha sita ila ameajiri degree zaidi ya 100.
Mwijaku ni mshamba hata kwa muonekano tu.
Ulisikia wapi? Jamaa kasoma pale mbona inajulikana na vyeti kaonesha?Jamaa hajasoma Udsm nilisikia alisoma MU diploma sijui!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwijaku sio mzima.. [emoji3][emoji3][emoji3] kaonesha mpka transcript .. et hii hawawezi kuijua [emoji3][emoji3]
Natamani miaka ingerudi nyuma alafu nishiriki kwenye ule mjadala "Education is better than money"Mwijaku ana CV nzito lakini ni Chawa wa mtu wa darasa la saba. Nikionacho mimi na marumbano yanayoendelea yeye na timu ya Diamond hadi kupelekea kutoa vyeti vyake hadharani anakidhalilisha chuo chetu.
Kweli mtu mwenye degree unaweza kua mpuuzi kiasi kile? Kuna umuhimu mkubwa elimu yetu ifanyiwe marekebisho
Nahitaji kununua cheti cha Masters in Tourism.Elimu inatakiwa ijieleze yenyewe kwa matokeo ya kazi.
Vyeti hata kununua unaweza.
Sasa mimi unaniambia nifanye nini?Nahitaji kununua cheti cha Masters in Tourism.
Unaingia mtandaoni unamtengezea hata PhD akitaka.Sasa mimi unaniambia nifanye nini?
Mimi si support vitu hivyoUnaingia mtandaoni unamtengezea hata PhD akitaka.
Nimeona umetoa wazo la kwamba vyeti vinaweza nunuliwaSasa mimi unaniambia nifanye nini?
Nimeeleza uhalisia kwamba vyeti vinaweza kununuliwa.Nimeona umetoa wazo la kwamba vyeti vinaweza nunuliwa
Mwihaku ni nani wengi hatumjui
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hilo shoga si lilidisco au?