Mwijaku na CV zake za UDSM

Ili uwe chawa wa king kiba uwe na jiwe (degree) siyo chawa wa domo hadi leo lafudhi ya kiha haijamtoka au yule msukuma wa makonde tabu tupu hahahaa KING KIBA.
 
Natamani miaka ingerudi nyuma alafu nishiriki kwenye ule mjadala "Education is better than money"
 
Nimeona umetoa wazo la kwamba vyeti vinaweza nunuliwa
Nimeeleza uhalisia kwamba vyeti vinaweza kununuliwa.

Hilo halimaanishi nina support vyeti kununuliwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…