Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Hii shughuli imenichekesha sana, nlitamani waende hadi kwa mwijaku getini.....wapige hicho kigomaaa washughulike kisha wasepe ....nimecheka mnoooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usikute mke wa mwijaku nae alitamani kuijiwa kweli 🤣🤣🤣🤣Wabongo 🙌
Mke amefurah kimoyomoyo 😂Usikute mke wa mwijaku nae alitamani kuijiwa kweli 🤣🤣🤣🤣
Yani hizi clip nimecheka walah, mzee mpili anavoshughulika kama kweli, Ally nae bize na hiyo kanzu kama anaoa kweli, nimecheka.Mke amefurah kimoyomoyo 😂
Tunaenda nyumbani kwa Mwinjaku leo saa saba mchana kuchukua Mke wetu!!Yani hizi clip nimecheka walah, mzee mpili anavoshughulika kama kweli, Ally nae bize na hiyo kanzu kama anaoa kweli, nimecheka.
Nilitamani waende kwa mwijaku
Ngoja tuone mwisho wa hii cinema itakuajeYani hizi clip nimecheka walah, mzee mpili anavoshughulika kama kweli, Ally nae bize na hiyo kanzu kama anaoa kweli, nimecheka.
Nilitamani waende kwa mwijaku
Kishaomba radhi kwa kamwe, kuwa waache anaumia 😹😹😹Tunaenda nyumbani kwa Mwinjaku leo saa saba mchana kuchukua Mke wetu!!
Ndo kazi yao hy hvy hapo wapo kazinMuda wa kufanya haya yote wanautoa wapi!?
Umati wote huo hiyo ndio kazi inayowalipa?Ndo kazi yao hy hvy hapo wapo kazin
Wewe ambaye huna Muda uko wapi Sasa hivi, unabilioni ngapi Hadi Muda huu!?Muda wa kufanya haya yote wanautoa wapi!?
Bilioni SabaWewe ambaye huna Muda uko wapi Sasa hivi, unabilioni ngapi Hadi Muda huu!?
NdioUmati wote huo hiyo ndio kazi inayowalipa?
Za kwako, tuache tupambane na Hali zetuBilioni Saba
Ila Mwinjaku kamzalilisha sana mkewe kwa kumfanya kama bidhaa ya dukani!!Utani mwingine sio! kutoa mke kisa soka!!?
punguza kiherehere kitakuponzaZa kwako, tuache tupambane na Hali zetu
Wewe ndo unakiherehere maana unaniuliza juu ya pesa zangu,huoni kuwa hicho ni kiherere!?,punguza kihererepunguza kiherehere kitakuponza