Menina alishakosa hata deal ya harusi ya ndani ya familia yao. Hamna mtu anataka kumuonaHuyu jamaa hana mshipa wa aibu,yaani pamoja na ile scandal yake na Menina lkn bado anapenda kuuza sura.
Ila kamuharibia sana maisha binti wa watu,kwani video zake zipo kwe site na zitaendelea kuwepo.
Sijui kama hata shughuliza zake za uMC kama anazifanya siku hizi.
So sad.Menina alishakosa hata deal ya harusi ya ndani ya familia yao. Hamna mtu anataka kumuona
muuza nyagoHuyo ni mwanamuziki, muigizaji au mcheza npira ni nani hasa huyu na anafanya kazi kani hadi kutajwa humu maana wengine ndio tunamsikia leo
Na tunazidi kujitoa tyuuuuuh, [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hakuna namna sasa khaaaaaaaaaaah uwiiiiiiiih