Mwijaku: Watanzania wakimuona Hamisa Mobetto wanatetemeka

Huyu ndio nani huko daslamu? Mod naomba muweke jukwaa la watu wa daslamu wadiscuss mambo yao vyeeema na kwa uhuru wengine hatuelewi kitu..
 
Menina alishakosa hata deal ya harusi ya ndani ya familia yao. Hamna mtu anataka kumuona
 
Mimi nawalaumu hao wanaotumia huo muda wao kumhoji Mwijaku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…