Nimekuwa nkijiuliza siku zote bila kupata majibu,hali ya kutetemeka mwili pale nnapotoa haja ndogo husababishwa nini?.Ningependa kufahamu hili wanataaluma..Ahsante
Nimekuwa nkijiuliza siku zote bila kupata majibu,hali ya kutetemeka mwili pale nnapotoa haja ndogo husababishwa nini?.Ningependa kufahamu hili wanataaluma..Ahsante
We utakuwa mgonjwa...
Hii kitu ndo nasikia leo..