Jicho la Tai
JF-Expert Member
- Oct 10, 2012
- 1,450
- 600
Kuna wakati rafiki yangu anajikuta anatetemeka mwili. hasa anapokunywa pepsi au koka halafu akichelewa kula kidogo hiyo hali humtokea hata kama hasikii njaa anaanza kutetemeka ndani kwa ndani baada ya muda anakuwa ok. Hii inasababishwa na nini? na ni namna gani ya kuepuka?
Taja hivyo vyakula mkuumwili wa binadamu una neurons bilion 86 na zote zimeumganisha na neurotransmiter kupungua kwa Dopamine level ndio inaleta hali hiyo cha kufanya kula vyakula vilivyo kua na wingibwa tyrosine kwa wingi
kitaalamu hivyo vyakula tunaviita amino acid yaan protein kama mayai nyama samaki spinach kabichi papai tikiti parachichi ndiz hivyo vina wing wa amino acidTaja hivyo vyakula mkuu
Hapo umeniweka sawa maana wengine cc wachumi ukileta habari za amino acid cjui nini ni kitendawili kwangu- thanks in advance.kitaalamu hivyo vyakula tunaviita amino acid yaan protein kama mayai nyama samaki spinach kabichi papai tikiti parachichi ndiz hivyo vina wing wa amino acid
Anaonja msisimkoKuna wakati rafiki yangu anajikuta anatetemeka mwili. hasa anapokunywa pepsi au koka halafu akichelewa kula kidogo hiyo hali humtokea hata kama hasikii njaa anaanza kutetemeka ndani kwa ndani baada ya muda anakuwa ok. Hii inasababishwa na nini? na ni namna gani ya kuepuka?