Mwili kuwa na umeme baada au wakati wa kufanya mapenzi

unaonekana umekanyaga jibu.lakn kwanini utuchoshe
??? wengine niwazee sasa hayo mambo tumeacha darasan tunakimbizana na siasa.....
 
wewe jamaa utakuwa na superpower.....
 
Usitembeee nje siku ya mvua kubwa na radi
 

mkapime kiwango cha sukari na bp
 
Ukweli huwa ipo hii. Mimi imekuwa inanitokea Mara nyingi tu ila si baada ya ngono.. Inanitokea hata ukigusa na yeyote japo in Mara chache na in kwa kustukiza.
Wataalamu saidieni hapa
Imewahi kunitokea wakati nimejiegesha (nimepitiwa usingizi) kwenye KOCHI...!

Ni mfano wa shoti ya Umeme 100%
 
Umekulana na jini wewe..
 
Duuh, kuna haja ya Kufunga umeme nyumbani kwenu akati nyie ni chanzo cha umeme?

Aisee oaneni kabisa maana umeme wenu utakua haukatiki,, haihitajiki luku wala nini... Luku yenu ni sex tu
 
Mara Paap TANESCO wanaomba tenda ya kuja kuzalisha umeme kupitia nyie!! Duuh itakuwa poa sana na tatizo la kukatakata umeme litaisha

[HASHTAG]#UtaniMkuu[/HASHTAG]
Nimecheka sana sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…