Mwili wa Askari aliyeuawa Loliondo kwa mshale, waagwa na kusafirishwa

Mwili wa Askari aliyeuawa Loliondo kwa mshale, waagwa na kusafirishwa

Joined
Jun 4, 2022
Posts
68
Reaction score
184
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, John Mongella amemtaka aliyehusika na mauaji ya Askari Polisi kwa kutumia mshale wakati wa uwekaji wa mpaka Loliondo Mkoani humo ajisalimishe. Amesema hayo leo wakati wa kuaga mwili wa marehemu Garlus Mwita, ambao umepelekwa kwao Musoma Mkoani Mara.
20220612_204018.jpg
20220612_204016.jpg
20220612_204013.jpg
 
So sad watu wanakesha kuchochea kwenye spaces na club houses wakiwa nje ya nchi au nyuma ona sasa wamegharimu na kukatisha maisha ya kijana wa watu mdogo kabisa
WORD IS MIGHTER THAN THE SWORD
 
So sad watu wanakesha kuchochea kwenye spaces na club houses wakiwa nje ya nchi au nyuma ona sasa wamegharimu na kukatisha maisha ya kijana wa watu mdogo kabisa
WORD IS MIGHTER THAN THE SWORD

Ni askari namba ngapi? Bado mnaamini watu huwa wanakubali utapeli wa hivyo kirahisi? Polisi wa kawaida asafirishwe kwa ndege?
 
Ni askari namba ngapi? Bado mnaamini watu huwa wanakubali utapeli wa hivyo kirahisi? Polisi wa kawaida asafirishwe kwa ndege?
Tumia basi ubongo hata kidogo, kwa hiyo hizo picha wametoa wapi? Huyo mwekezaji wa eneo la karibu hala ndege ndogo ambazo anaweza kutoa kama maaada na kuguswa kwake kwa msiba huo?
 
Mwili wa Askari wa Jeshi la Polisi aliyeuawa kwa kupigwa mshale katika Pori Tengefu la Loliondo, Juni 9, 2022 umeagwa na kusafirishwa kwenda nyumbani kwao Musoma Mkoani Mara kwa mazishi, leo Juni 12, 2022.


FVD5gZyXwAEg_tM.jpg

Source: ITV
==============

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, John Mongella, amemtumia salamu aliyehusika katika mauaji ya Askari wilayani Ngorongoro, katika zoezi la uwekaji mipaka katika eneo la Pori tengefu la Loliondo na kumtaka ajisalimishe kituo cha Polisi vinginevyo ajue hayuko salama, atakamatwa tu.
FVD5gZyWAAEDu4o.jpg
 
Maasai kala kichwa duh
Mkuu wa mkoa anataka mtuhumiwa ajisalimishe kwa hali ilivyochafuka ivi kuna ushirikiano utapatikana kweli
 
Hatari ni pale mwenye bunduki anapouliwa na mkuki.

Maisha hayana formula.

Kwaheri kamanda.
 
Back
Top Bottom