kimbendengu
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 6,716
- 12,116
Maskiniii nyenyere
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poleni. Ilikuwaje kiongoziSiwezi kumsahau abadani huyu jaji Nsekela, alipindisha haki ya mirathi ya baba yetu enzi zile. Tulikosa kila kitu, ila Mungu ni mwema wote tuna maisha yetu mazuri tu.
AiseeeSiwezi kumsahau abadani huyu jaji Nsekela, alipindisha haki ya mirathi ya baba yetu enzi zile. Tulikosa kila kitu, ila Mungu ni mwema wote tuna maisha yetu mazuri tu.
Ndungai mbona hajafa?Huyu ndiye alishirikiana na Ndugai kumpokonya ubunge Tundu Lissu. Alisema kuwa Tundu Lissu hajapeleka tatamko la mali zake wakati alikuwa anafahamu kuwa Tundu Lissu hakuwa nchini kwa sababu ya matibabu. Ndugai akamfuta ubunge.
Siwezi kumsahau abadani huyu jaji Nsekela, alipindisha haki ya mirathi ya baba yetu enzi zile. Tulikosa kila kitu, ila Mungu ni mwema wote tuna maisha yetu mazuri tu.
Huyu ndiye alishirikiana na Ndugai kumpokonya ubunge Tundu Lissu. Alisema kuwa Tundu Lissu hajapeleka tatamko la mali zake wakati alikuwa anafahamu kuwa Tundu Lissu hakuwa nchini kwa sababu ya matibabu. Ndugai akamfuta ubunge.
Ni mzaliwa wa mkoa gani
Msamaha mkuuSiwezi kumsahau abadani huyu jaji Nsekela, alipindisha haki ya mirathi ya baba yetu enzi zile. Tulikosa kila kitu, ila Mungu ni mwema wote tuna maisha yetu mazuri tu.