princemikazo
JF-Expert Member
- Jan 10, 2019
- 2,195
- 2,056
- Thread starter
- #21
Nouma sana dingii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nouma sana dingii
Inasemekans hivyo na ndio maana wamama wengine huwa na watoto wenye zaidi ya vinasaba vya baba zaidi ya 1!!!!unamkutaje na hatia ujampa haki ya kumsikiliza
ivi kama ukimla mtu dna yake hadi ukifa inabaki kwako
Kwa hyo toka akiwa na miaka 14 mpaka leo hizo shahawa za MJ bado ziko mwilini mwa huyo jamaa? Miaka 7 ya kulawitiwa ameshakuwa shoga au la?Mwili wa aliyekuwa mfalme wa pop duniani,Michael Jackson huenda ukafukuliwa toka kaburini kwa uchunguzi kufuatia tuhuma za ulawiti, Mtandao wa Radar online umethibitisha kupitia filamu ya 'Leaving Neverland' imeelezwa kuwa Michael Jackson aliwahi kuwalawiti wavulana zaidi ya30 wenye umri mdogo,lakini watatu tayari wamejitokeza kuzungumza,mmoja anaitwa Wade Robson alithibitisha kwenye mitandao kuwa toka ana umri wa miaka7 hadi alipofika14.
Mwengine ni James Safechunk.Mwili wa mfalme huyo wa pop utafukuliwa ili kupima vipimo vya DNA kwenye mabaki ya sehemu za mwili wake ili kubaini kama kuna ukweli.
Nilikuwa naomba akikutwa na hatia ahukumiwe miaka 30 iwe fundisho kwa marehemu wengine wenye tabia hii.
@ChaliiYaKijengeJuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Trump tengeneza ukuta maana hizi Cocaine za Mexico si mchezo..