Mwili wa Michael Jackson kufukuliwa kaburini kwa uchunguzi

Hapo wanataka pesa za marehemu tu. Utashangaa imebainika kweli alifanya na victims walipwe fidia
 
unamkutaje na hatia ujampa haki ya kumsikiliza

ivi kama ukimla mtu dna yake hadi ukifa inabaki kwako
Inasemekans hivyo na ndio maana wamama wengine huwa na watoto wenye zaidi ya vinasaba vya baba zaidi ya 1!!!!
 
Kwa hyo toka akiwa na miaka 14 mpaka leo hizo shahawa za MJ bado ziko mwilini mwa huyo jamaa? Miaka 7 ya kulawitiwa ameshakuwa shoga au la?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ina maana alivyowalawiti akawaambukiza DNA yake? Sijaelewa sayansi iliyopo hapo
 
wazungu kubinuana si kawaida yao sasa wanalalamika nini? halafu kajamaa kanaonesha kamenogewa mshedede.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…