Mwili wa Mwanaume waokotwa mitaa ya Jangwani, inadaiwa alishambuliwa, kuuawa kisha kutupa

BigTall

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2022
Posts
525
Reaction score
1,257
Mida ya saa kumi jioni ya leo Septemba 4, 2023 nilipita maeneo haya ya Jangwani karibu na mto, nikaona kuna mwili wa mwanaume ukiwa umetupwa.

Mashuhuda wanadai itakuwa jamaa ameshambuliwa na kuuliwa kisha kutupwa eneo hilo.

Sijajua huo mwili ni wan ani hasa lakini nimeshuhudia Jeshi la Polisi wakifanya mchakato wa kuutoa eneo husika.

Sikusogea kuuangalia lakini inadaiwa mwili ulikuwa umeshaanza kuharibika.

Mwenye ndugu yake ambaye amepotea au hajulikani alipo afanye mpango kwenda Polisi kufuatilia japo sijajua ni Polisi wa wapi pia

 
Mida ya mchana hivi nilipita hapo nikaona bodaboda wamejazana hapo
 
Tuombe tusirudi huku, kukatisha uhai wa mwenzako ni dhambi mbaya na kubwa unaweza ukakuta una mikosi kila siku kumbe sababu ni kukatisha uhai wa mwenzako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…