TANZIA Mwimbaji kiongozi wa bendi ya Reggae ya Morgan Heritage, Peter 'Peetah' Morgan, amefariki dunia akiwa na miaka 47

TANZIA Mwimbaji kiongozi wa bendi ya Reggae ya Morgan Heritage, Peter 'Peetah' Morgan, amefariki dunia akiwa na miaka 47

Pit.png

Peter Anthony Morgan, muimbaji kiongozi katika Bendi ya Muziki wa Reggae, Morgan Heritage amefariki Dunia akiwa na umri wa miaka 46

Tangazo lililotolewa na familia yake limesema Peter alikata kauli Jumapili Februari 25, 2024 bila kutaja sababu au chanzo cha kifo, ambapo wameomba faragha ya familia katika wakati huu.

Peter au Peetah, aliunda Bendi ya Morgan Heritage na ndugu zake Mwaka 1994, waliwashi kushinda Tuzo ya Grammy (Albamu Bora ya Reggae Mwaka 2016).

Msanii Diamond Platnumz wa Tanzania aliwahi kushirikiana na Morgan Heritage katika nyimbo mbili za Africa na Hallelujah.
Morgan-Shoot-1.jpg

Morgan-ShootSLIDER.jpg

1539681328_8265_b.jpg

=======

Morgan Heritage Lead Singer 'Peetah' Dies Aged 46

Peter Anthony Morgan, the lead singer of the popular reggae band Morgan Heritage has died aged 46 years old, his family announced.

In a statement, the family said that Peter breathed his last on Sunday however not intimating on the cause of death.

The statement described him as a husband, father, son and brother.

"We ask for your continued prayers as we go through this process. We also ask that you also respect our privacy during this time of healing," read the statement in part.

Peter, well known as Peetah, formed Morgan Heritage with his siblings in 1994, and the band won a Grammy for best reggae album in 2016 for “Strictly Roots.”
 
View attachment 2916558
Peetah Morgan enzi za uhai wake

Mwimbaji kiongozi wa bendi ya Reggae ya Morgan Heritage, Peter 'Peetah' Morgan, amefariki. Bendi hiyo imetangaza kifo cha Peetah kupitia taarifa iliyopostiwa kwenye ukurasa wao wa Instagram jana Jumapili (Februari 25).

Taarifa ya bendi haikuweka wazi sababu ya kifo cha mwimbaji huyo mkongwe lakini illieleza kuwa alikuwa na umri wa miaka 47 wakati wa kifo chake. Bendi ya Morgan Heritagevinaundwa na watoto wa nguli wa muziki wa reggae, Denroy Morgan.

"Ni kwa upendo wa dhati tunawashirikisha kuwa mpendwa wetu, mume, baba, mtoto, ndugu na mwimbaji mkuu wa Morgan Heritage, Peter Anthony Morgan, amepaa leo, Februari 25.”

Taarifa hiyo ilimalizia: "Familia yetu inawashukuru kwa upendo wenu mkubwa na msaada na tunawaomba muendelee na sala zenu tunapopitia kipindi hiki. Pia tunaomba mheshimu faragha yetu wakati tukiendelea kupona"

Sauti ya Peetah Morgan ilisikika kwenye nyimbo kama "She's Still Loving Me," "Down by the River," na hiti kubwa "Don't Haffi Dread (To Be Rasta)."

Watoto watano wa marehemu Denroy Morgan, aliyefariki Machi 2022 akiwa na umri wa miaka 76, ni pamoja na Memmalatel 'Mr Mojo' Morgan, Nakhamyah 'Lukes' Morgan, Una Morgan, na Roy Morgan, maarufu kama Gramps Morgan.

Ikumbukwe pia kuwa Peetah amefanya kazi na wasanii wa Tanzania kama vile Jhikoman kwenye wimbo unaoitwa Afrika Arise (Februari 2017) na Diamond Platnumz ambaye alifanya naye wimbo wa Haleluya (Septemba 2017). Pia amewahi kushirikiana na Hamornize katika wimbo wa Malaika, na Romy Jones katika wimbo unaoitwa Ready.

View attachment 2916773
Peetah na Jhikoman kwenye wimbo unaoitwa Afrika Arise uliofanyika mwaka 2017.

View attachment 2916746
Verse ya Peetah kwenye wimbo wa Haleluya ambao Diamond Platnumz aliwashirikisha Morgan Heritage.

View attachment 2916579
Peetah kwenye Perfect Love Song
=========

Reggae band Morgan Heritage’s lead singer, Peter ‘Peetah’ Morgan, has died. The Band announced the passing of Peetah via a statement shared on their Instagram on Sunday (February 25). The Band’s statement did not reveal the veteran singer’s cause of death but revealed he was age 47 at the time of his passing. The group, which comprises the children of late elder statesman of reggae music, Denroy Morgan, posted the announcement to social media this afternoon.

"It is out of sincere love that we share that our beloved husband, father, son and brother and lead singer of Morgan Heritage, Peter Anthony Morgan, has ascended today, February 25. Jah come and save us from ourselves because love is the only way," the statement said in part.

The statement concluded: "Our family thanks you in advance for your overwhelming love and support and we ask for your continued prayers as we go through this process. We also ask that you please respect our privacy during this time of healing."

Peetah Morgan’s vocals could be heard on songs including “She’s Still Loving Me,” “Down by the River,” and the mega-hit “Don’t Haffi Dread (To Be Rasta).

Morgan Heritage is comprised of five siblings, with Peetah Morgan being the lead singer. They are five of the late reggae singer Denroy Morgan’s children. The other members of the Grammy-winning band are Memmalatel’ Mr Mojo’ Morgan, Nakhamyah’ Lukes’ Morgan, Una Morgan, and Roy Morgan, better known as Gramps Morgan.
Ulimwengu wa Reggae umepata pigo kubwa wallahi. Kama ninamuona bro akiaga kundi na wimbo wake "Bye bye" zama zile. R.I.P
 
Rest in peace peter

Nikiwa kama mpenzi wa reggae
Na shabiki wa Morgan heritage nmeguswa sana,na pia nakumbuka
Ile show yenu mliyopiga nairobi kenya
2015 na nilikuwepo ilikuwa bonge la show,vibe la maana

Ova
 
R.I.P. moja ya show kali kabisa ni Morgan Hertitage live in amsterdam. Jamaa alikuwa na vocal kali sanaaaa!! Nimehuzunika sana leo
 
Rest in peace peter

Nikiwa kama mpenzi wa reggae
Na shabiki wa Morgan heritage nmeguswa sana,na pia nakumbuka
Ile show yenu mliyopiga nairobi kenya
2015 na nilikuwepo ilikuwa bonge la show,vibe la maana

Ova
Hapo kwenye album ya Full circle, wimbo tell me how come!!
 
Rest in peace peter

Nikiwa kama mpenzi wa reggae
Na shabiki wa Morgan heritage nmeguswa sana,na pia nakumbuka
Ile show yenu mliyopiga nairobi kenya
2015 na nilikuwepo ilikuwa bonge la show,vibe la maana

Ova
Man still a man, im so lost, jamaa ameenda na sauti yake. Daaah leo ni siku ya huzuni sana kwangu, mnooooo!!!
 
Back
Top Bottom