TANZIA Mwimbaji Liam Payne aliyekuwa member wa One Direction afariki kwa kuanguka ghorofani

TANZIA Mwimbaji Liam Payne aliyekuwa member wa One Direction afariki kwa kuanguka ghorofani

Baada ya kuumia chameleon aliimba nyimbo inaitwa

"Abayuda "

Akimaanisha wanafiki na wachawi tunaishi nao na kula nao

Abayuda tulika nabo mara tuseka nabo

Nasikia ilivunjinka miguu katika sleepwalking yeye alidai alipigwa juju
Aah kumbe
Basi mimi sikufauatilia tena ila nilisikia tu alianguka kwenye usingizi na ni kawaida yake
Aisee waafrika kila kitu ni juju tu
 
Aah kumbe
Basi mimi sikufauatilia tena ila nilisikia tu alianguka kwenye usingizi na ni kawaida yake
Aisee waafrika kila kitu ni juju tu

Ilikuwa zamani kidogo

Alikuwa anatembelea wheelchair

Akuishia hapo akaachia na nyimbo inaitwa basima ogenze

Akimaanisha binadamu watakusifu ukiondoka.

Ebirungi tubikora banadamu basima ogenze
 
Ilikuwa zamani kidogo

Alikuwa anatembelea wheelchair

Akuishia hapo akaachia na nyimbo inaitwa basima ogenze

Akimaanisha binadamu watakusifu ukiondoka.

Ebirungi tubikora banadamu basima ogenze
Kweli ilikuwa kitambo
Ila anaimba jamaa nilikuwa namkubali sana
 
Umeona hali yake ya sasa alivyo inasikitisha sana amekuwa mlevi
Sijamuona kitambo
Ngoja nim google
Ila maisha haya ni fumbo huwezi kujua mtu atakuwaje kwa mitihani tunayopitia ila ulevi sio suluhu hata ukipata masaibu gani
 
Back
Top Bottom