Shauri zako jidanganye tu.Sisi wanawake ndio tunaojua nini hasa tunachotaka.
MWanaume sura, dudu ata mbuzi anayo
Ndio, tumeamua kumtafutia scandal unatakaje
Ebu nipe umbea mnatakaga nini zaidi ya athuman kipara na pochi?
Ndio, tumeamua kumtafutia scandal unatakaje
MWanaume sura, dudu ata mbuzi anayo
Kapendeza bana
nataka muache ushoga
Tunataka vyoooote!
Sie ndio tulomnunulia huo mkorogo pozo kutoka kwa director Joan??
Hahahaaa, warumi bwana?Sisemi mie.Kila mtu na chaguo lake.Nikisema hapa nitazua mjadala.
Funguka bhana, kwani inahuu? Jiachie binamu wapenda nini kunako sita kwa sita? Umbea tuweke pembeni kidogo maana sheria ishapitishwa kuanzia sasa ukikamatwa miaka 9 jela au faini ya mil 3,aya nazinyea wapi warumi mie? LEo elfu mbili tu ya kwenda coco imenishinda
Director joan kweli yule kiboko khaa, ivi akipata ajali sijui itakuwaje
Hhhhaaaaaaaaaa yaan mbona ni rahaaaaaa sasaaaa sasa hivi umbea mnene ni pm tu binam etiii
Bora ajikoboe hua kabaya mno na macho yake yale miwani imekaokoa sanaa,
Yani akivua miwani anakuwa mbaya jamani atleast akitupia miwani yani amevimbaga sura aiseee