Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hii ni baada ya wapiga kura tuliotangaziwa awali kuongezeka kutoka 1400 hadi 1728 , wamezaana lini haifahamiki ! ikumbukwe kwamba Mwina Kaduguda anagombea ujumbe.
Hii si mara ya kwanza kwa Mwina Kaduguda kupigania haki yake ndani ya simba , mara ya kwanza ilikuwa pale alipodai kurudishiwa hela ya chapati alizonunua kwa ajili ya kifungua kinywa cha wachezaji wa Simba.
....... Tutaendelea kuwajulisha yote yanayotokea kwenye uchaguzi huu , ikiwemo yale ya nyuma ya pazia .
Hii si mara ya kwanza kwa Mwina Kaduguda kupigania haki yake ndani ya simba , mara ya kwanza ilikuwa pale alipodai kurudishiwa hela ya chapati alizonunua kwa ajili ya kifungua kinywa cha wachezaji wa Simba.
....... Tutaendelea kuwajulisha yote yanayotokea kwenye uchaguzi huu , ikiwemo yale ya nyuma ya pazia .