OGOPA MUNGU NA TEKNOLOJIA"Kwa hiyo YANGA walikuja wanajiamini.....wanatupigia mbwembwe ....mwaka huu tunaenda nusuuu kwenye lile kombe la kina mama ( kombe la shirikisho[emoji23])
.....sisi tunacheza kombe la wanaume ( club bingwa [emoji23]) wao Wanacheza kombe la kina mama.... kaduguda,(2022)
So jumamosi YANGA atakuwa Zanzibar kucheza kombe la wanaume.....Simba atakuwa kmc kucheza kombe la wamama ( shirikisho) au kombe la rede
NB Je kombe la kina mama bado Simba inashindwa piga shot on target hata 1[emoji23][emoji23]View attachment 3099418
🤣🤣🤣 Kaduguda alimaliza Kila kitu, sasa wapo wanapelekewa moto na wakina mama wenzao🤣🤣🤣"Kwa hiyo YANGA walikuja wanajiamini.....wanatupigia mbwembwe ....mwaka huu tunaenda nusuuu kwenye lile kombe la kina mama ( kombe la shirikisho[emoji23])
.....sisi tunacheza kombe la wanaume ( club bingwa [emoji23]) wao Wanacheza kombe la kina mama.... kaduguda,(2022)
So jumamosi YANGA atakuwa Zanzibar kucheza kombe la wanaume.....Simba atakuwa kmc kucheza kombe la wamama ( shirikisho) au kombe la rede
NB Je kombe la kina mama bado Simba inashindwa piga shot on target hata 1[emoji23][emoji23]View attachment 3099418
Sijasema huyo siyo Msimbazi!.watu wanapokata cable inayoleta mawasiliano tumboni unachanganyikiwa.Hapana mkuu,.yule ni msimbazi saaf kabsa
Akikujibu niambieEmbu kamuulize kwa sasa anasemaje!