Mwina Kaduguda na wenzako, kwanini hamtaki kuvaa jezi za M Bet, mnatufundisha nini sisi mashabiki

Mwina Kaduguda na wenzako, kwanini hamtaki kuvaa jezi za M Bet, mnatufundisha nini sisi mashabiki

Ukweli ni kwamba Simba awamu hii kuhusu jezi wamezingua ,jezi hamna na hizo chache zinauza sh 100,000 . Fredy Vunjabei alisema ameingia hasara ya mil 300+ kwasababu alitengeneza zenye nembo za sportpesa mara mdhamini kabadilishwa
 
Simba wa Yuda huwa anavaa jezi, M-Bet tangu aje mashabiki wengi hawana hizo jezi,na kile kipigo tulichowapa Cha Community shield,hata jezi hazinunuliki tena+ Sarakasi za Vunja bei
 
Kaduguda ni tatizo Simba nimesoma makala yake kwenye gazeti la msimbazi wiki iliyopita anasema Simba Haina kiungo mkabaji na mshambuliaji lakini anapoandika hivyo anasahau yeye ni kiongozi na yupo kwenye bodi hivi ameshindwa nini kuongeza kwenye bodi, kama ameongea na hasikilizwi si Bora ajiuzuru kuliko kutuletea majungu yake
Mwafrika akielezwa ukweli huona kama ametukanwa, ndio maana wamezoea uwongo uwongo.
 
Nimeangalia gemu ya juzi ya Simba vs kagera sugar nimemuona mjumbe wa bodi ya wakurugenzi wa Simba anayewakilisha wanachama Bw.Mwina Seif Kaduguda akiwa amevalia jezi ya Simba ikiwa na nembo ya Sportpesa.
Kiukweli nimesikitika sana, Simba imeingia mkataba na M bet, mkataba mnono kuliko ule Yanga vs Sportpesa, lkn bado baadhi ya viongozi wa Simba wanavaa jezi zenye nembo ya Sportpesa, hii maana yake ni nini, je wanasaliti udhamini wa M bet, je hawakubaliani na mkataba huo, je Kaduguda hana uwezo wa kununua jezi mpya ya M bet, je kitendo cha Kaduguda na wenzake kuvaa jezi za sportpesa ilhali sasa tuko na M bet kinaashiria nini, je viongozi wetu wanatufundisha nini, hawa watu kweli wako wamoja ama wako kwa maslahi binafsi.

Nawaomba mashabiki wa Simba, ni usaliti mkubwa sana kuvaa jezi zenye nembo ya mdhamini wa yanga, sisi mdhamini wetu ni M bet, mtu yeyote anayevaa jezi za sportpesa huyo sio mwenzetu, huyo ni yanga.
Barbra hakuwagawia Jezi mpya wajumbe wa Bodi ya Simba ndio maana wanavaa za zamani!
 
Kaduguda ni tatizo Simba nimesoma makala yake kwenye gazeti la msimbazi wiki iliyopita anasema Simba Haina kiungo mkabaji na mshambuliaji lakini anapoandika hivyo anasahau yeye ni kiongozi na yupo kwenye bodi hivi ameshindwa nini kuongeza kwenye bodi, kama ameongea na hasikilizwi si Bora ajiuzuru kuliko kutuletea majungu yake
Jitu hata pesa halichangii nani alisikilize sasa.......yeye anachojua ni ushirikina tu
 
Nimeangalia gemu ya juzi ya Simba vs kagera sugar nimemuona mjumbe wa bodi ya wakurugenzi wa Simba anayewakilisha wanachama Bw.Mwina Seif Kaduguda akiwa amevalia jezi ya Simba ikiwa na nembo ya Sportpesa.
Kiukweli nimesikitika sana, Simba imeingia mkataba na M bet, mkataba mnono kuliko ule Yanga vs Sportpesa, lkn bado baadhi ya viongozi wa Simba wanavaa jezi zenye nembo ya Sportpesa, hii maana yake ni nini, je wanasaliti udhamini wa M bet, je hawakubaliani na mkataba huo, je Kaduguda hana uwezo wa kununua jezi mpya ya M bet, je kitendo cha Kaduguda na wenzake kuvaa jezi za sportpesa ilhali sasa tuko na M bet kinaashiria nini, je viongozi wetu wanatufundisha nini, hawa watu kweli wako wamoja ama wako kwa maslahi binafsi.

Nawaomba mashabiki wa Simba, ni usaliti mkubwa sana kuvaa jezi zenye nembo ya mdhamini wa yanga, sisi mdhamini wetu ni M bet, mtu yeyote anayevaa jezi za sportpesa huyo sio mwenzetu, huyo ni yanga.
Watu wengi hawajapata jezi
 
Hiyo jersy ya zamani aitie moto. Mkataba wake na muuzaji ni kwamba avae mwaka mmoja tu.
 
Back
Top Bottom