OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Acheni kukufuru Mungu nyieView attachment 2181388
Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Klabu ya Simba, Mwina Kaduguda amesema kuwa wapo tayari kufa ila Simba ifanikiwe na kufikia malengo yao kwa msimu huu.
.
“Tunaziona timu zilizofanikiwa Afrika kuwa na uwekezaji mkubwa. Simba pia tupo kwenye njia hiyo kwa msimu wa tano sasa kwanini tusifanikiwe kubeba mataji makubwa Afrika?” amesema mwenyekiti huyo wa zamani wa Simba na kuongeza:
.
“Tunaamini tunaweza kumfunga yeyote na kutwaa mataji kama ilivyo lengo letu na nipo tayari KUFA ili kuhakikisha Simba inafikia malengo na kutwa mataji makubwa makubwa Afrika.” amesema Kaduguda.
My Take
Nami nipo tayari kufa ili Simba ifanikiwe. Simba Nguvu Moja
Wewe sema upo tayari kufa kwa ajili ya Mwamedi na si SimbaView attachment 2181388
Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Klabu ya Simba, Mwina Kaduguda amesema kuwa wapo tayari kufa ila Simba ifanikiwe na kufikia malengo yao kwa msimu huu.
.
“Tunaziona timu zilizofanikiwa Afrika kuwa na uwekezaji mkubwa. Simba pia tupo kwenye njia hiyo kwa msimu wa tano sasa kwanini tusifanikiwe kubeba mataji makubwa Afrika?” amesema mwenyekiti huyo wa zamani wa Simba na kuongeza:
.
“Tunaamini tunaweza kumfunga yeyote na kutwaa mataji kama ilivyo lengo letu na nipo tayari KUFA ili kuhakikisha Simba inafikia malengo na kutwa mataji makubwa makubwa Afrika.” amesema Kaduguda.
My Take
Nami nipo tayari kufa ili Simba ifanikiwe. Simba Nguvu Moja
Mwache afe sisi turithi mali zake, mke na watotoView attachment 2181388
Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Klabu ya Simba, Mwina Kaduguda amesema kuwa wapo tayari kufa ila Simba ifanikiwe na kufikia malengo yao kwa msimu huu.
.
“Tunaziona timu zilizofanikiwa Afrika kuwa na uwekezaji mkubwa. Simba pia tupo kwenye njia hiyo kwa msimu wa tano sasa kwanini tusifanikiwe kubeba mataji makubwa Afrika?” amesema mwenyekiti huyo wa zamani wa Simba na kuongeza:
.
“Tunaamini tunaweza kumfunga yeyote na kutwaa mataji kama ilivyo lengo letu na nipo tayari KUFA ili kuhakikisha Simba inafikia malengo na kutwa mataji makubwa makubwa Afrika.” amesema Kaduguda.
My Take
Nami nipo tayari kufa ili Simba ifanikiwe. Simba Nguvu Moja
Wamfanye zezetaSasa amezeeka hata wakimtoa kafara sawa!
Alidai elfu 5 za chapatiHuyu sio ndio alidai apewe koni zake za mazoezi na hela alizotoa za kuwanunulia mihogo ya chai wachezaji wa Simba?
Yeah... Nadhani ilikua 2005.. akawa anasema katoa elfu5 yake kuwanunulia wachezaji chapati hivyo anataka hela yake.Huyu sio ndio alidai apewe koni zake za mazoezi na hela alizotoa za kuwanunulia mihogo ya chai wachezaji wa Simba?
Chapati zako ulishalipwa,Mzee wa litochi?View attachment 2181388
Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Klabu ya Simba, Mwina Kaduguda amesema kuwa wapo tayari kufa ila Simba ifanikiwe na kufikia malengo yao kwa msimu huu.
.
“Tunaziona timu zilizofanikiwa Afrika kuwa na uwekezaji mkubwa. Simba pia tupo kwenye njia hiyo kwa msimu wa tano sasa kwanini tusifanikiwe kubeba mataji makubwa Afrika?” amesema mwenyekiti huyo wa zamani wa Simba na kuongeza:
.
“Tunaamini tunaweza kumfunga yeyote na kutwaa mataji kama ilivyo lengo letu na nipo tayari KUFA ili kuhakikisha Simba inafikia malengo na kutwa mataji makubwa makubwa Afrika.” amesema Kaduguda.
My Take
Nami nipo tayari kufa ili Simba ifanikiwe. Simba Nguvu Moja
Alidai na chapati huyo.Huyu sio ndio alidai apewe koni zake za mazoezi na hela alizotoa za kuwanunulia mihogo ya chai wachezaji wa Simba?
Acha makasiriko ya kijinga na kuishia kutukana watu hovyoo!! Nani kakwambia Kila kinachoandikwa humu ni uhalisia??. Tumia hata akili za visigino kujibu na sio kuja na makasiriko ya kipuuzi wakati watu hutania!!Akili za kipumbavu hizi. Karne hii unarithi wake za marehemu?
Hivi unadhan hakuna wapenzi wa timu za mpira wa miguu, au unadhani shabiki maandazi akina nyie mko sawa na wapenzi wa timu za mpira wa miguu, watu wametoka mbali na hizo timu, watu wana historia kubwa na hizo timu, nyie mnakuja kuongea upupu hapa. Haya subirini wafe muende mkarithi wake pumbavu.
View attachment 2181388
Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Klabu ya Simba, Mwina Kaduguda amesema kuwa wapo tayari kufa ila Simba ifanikiwe na kufikia malengo yao kwa msimu huu.
.
“Tunaziona timu zilizofanikiwa Afrika kuwa na uwekezaji mkubwa. Simba pia tupo kwenye njia hiyo kwa msimu wa tano sasa kwanini tusifanikiwe kubeba mataji makubwa Afrika?” amesema mwenyekiti huyo wa zamani wa Simba na kuongeza:
.
“Tunaamini tunaweza kumfunga yeyote na kutwaa mataji kama ilivyo lengo letu na nipo tayari KUFA ili kuhakikisha Simba inafikia malengo na kutwa mataji makubwa makubwa Afrika.” amesema Kaduguda.
My Take
Nami nipo tayari kufa ili Simba ifanikiwe. Simba Nguvu Moja
View attachment 2181388
Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Klabu ya Simba, Mwina Kaduguda amesema kuwa wapo tayari kufa ila Simba ifanikiwe na kufikia malengo yao kwa msimu huu.
.
“Tunaziona timu zilizofanikiwa Afrika kuwa na uwekezaji mkubwa. Simba pia tupo kwenye njia hiyo kwa msimu wa tano sasa kwanini tusifanikiwe kubeba mataji makubwa Afrika?” amesema mwenyekiti huyo wa zamani wa Simba na kuongeza:
.
“Tunaamini tunaweza kumfunga yeyote na kutwaa mataji kama ilivyo lengo letu na nipo tayari KUFA ili kuhakikisha Simba inafikia malengo na kutwa mataji makubwa makubwa Afrika.” amesema Kaduguda.
My Take
Nami nipo tayari kufa ili Simba ifanikiwe. Simba Nguvu Moja