OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Klabu ya Simba, Mwina Kaduguda amesema kuwa wapo tayari kufa ila Simba ifanikiwe na kufikia malengo yao kwa msimu huu.
.
“Tunaziona timu zilizofanikiwa Afrika kuwa na uwekezaji mkubwa. Simba pia tupo kwenye njia hiyo kwa msimu wa tano sasa kwanini tusifanikiwe kubeba mataji makubwa Afrika?” amesema mwenyekiti huyo wa zamani wa Simba na kuongeza:
.
“Tunaamini tunaweza kumfunga yeyote na kutwaa mataji kama ilivyo lengo letu na nipo tayari KUFA ili kuhakikisha Simba inafikia malengo na kutwa mataji makubwa makubwa Afrika.” amesema Kaduguda.
My Take
Nami nipo tayari kufa ili Simba ifanikiwe. Simba Nguvu Moja