OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
- Thread starter
-
- #21
Yeye sio malaika, Magu mwenyewe aliwahi kuwaambia wana Kigamboni wapige mbizi,lakini wakampa urais sembuse Simba wa Yuda?Aliwahi kudai hela zake alizonunua Chapati kwenye kambi ya Simba. Tena alizidai kwa lugha mbaya sana
Kwaiyoo ndo afe kwa ajili ya timu. Hizo ni mbwembwe tu akishikiwa kisu shingoni mkojo debe mavi karai. Atasema simba sio mama yangu.Akili za kipumbavu hizi. Karne hii unarithi wake za marehemu?
Hivi unadhan hakuna wapenzi wa timu za mpira wa miguu, au unadhani shabiki maandazi akina nyie mko sawa na wapenzi wa timu za mpira wa miguu, watu wametoka mbali na hizo timu, watu wana historia kubwa na hizo timu, nyie mnakuja kuongea upupu hapa. Haya subirini wafe muende mkarithi wake pumbavu.
I love you my sweet mchepuko, punguza hasira na hamaki, mumeo nakupenda jinsi ulivyoAkili za kipumbavu hizi. Karne hii unarithi wake za marehemu?
Hivi unadhan hakuna wapenzi wa timu za mpira wa miguu, au unadhani shabiki maandazi akina nyie mko sawa na wapenzi wa timu za mpira wa miguu, watu wametoka mbali na hizo timu, watu wana historia kubwa na hizo timu, nyie mnakuja kuongea upupu hapa. Haya subirini wafe muende mkarithi wake pumbavu.
Yeye sio malaika, Magu mwenyewe aliwahi kuwaambia wana Kigamboni wapige mbizi,lakini wakampa urais sembuse Simba wa Yuda?
Wewe ni kuku wangu kamwe siwezi kukushikia manatiAcha UKUMA wewe fala! Jitu zima akili za hovyo.
Naona umemujibu kwa hekima sana :hongeraI am sorry bro, samahani sana kwa kukufanya ukasirike. Naomba unisamehe na pia nakutakia siku njema.
AsanteNaona umemujibu kwa hekima sana :hongera