Mwingira amlaani mchungaji Loliondo!


Kuna kitu sijaelewa, watu humu mnapinga nini? kwamba dawa ya babu inatibu v/s haitibu?, au whether babu ni mtumishi wa Mungu v/s mtumishi wa shetani? watu wanachohitaji ni kupona, mbona hamuwapingi madaktari wanaotengeneza dawa kila siku? na zenyewe si zinatoka kwenye mitishamba? as long as mtu anamjua anayemuabudu mi sioni shida iko wapi, maana akipona siku zote sifa na utukufu atarudisha kwa Mungu alie hai, so long as hata Ambikile mwenyewe kakiri kwa jina la Yesu kuwa anatibu kwa jina hilo, na anamtumikia Mungu alie hai, hiyo inatosha kwa muumini wa kawaida hana hatia, msim underestimate Mungu kwa uelewa wenu wa kibinadamu. Pingeni na dawa za hospitali kwanza kwa spidi hii hii.
 

Very useful post, tusimsaidie Mungu kwa werevu wetu wa kidunia. Anaona, na anajua kila kinachoendelea, its just a matter of time for us to know mchele na pumba.
 
Reactions: LD
Its is difficult to tell who is right and who is a liar, bt believe it or not! some of these RIDICULOUS GOOD FOR NOTHING SHAMELESS PASTORS use satanic power to perform miracles in churches and in turn they are given money and fame by satan thats why u cn see them driving Hammers and other luxurious expensive cars worth up to 500,000,000mill. Open ur eyes guys that has nothing to do with ur SADAKAS, they are given that 2prepare u to accept the ant-christ and 'Mark of the beast 666' you'll realise the truth when it's too late and taken straight to hell when u die! Damn them all. ELIMRINGI MOSHI, +255 714-112-062,Ellystrick87@rocketmail.com
 
Hawa wote wasanii na wachumia tumbo! Hawana jipya wala maana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…