Mwinjuma Muumini ndiye mwanamuziki wa Dansi mwenye uwezo wa juu zaidi kiutunzi na arrangement ya muziki hapa Tanzania

Parabora

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2019
Posts
1,504
Reaction score
2,203
Wakuu huyu jamaa ni kipaji japo now kapotea kabisa hasikiki, mnaokumbuka majina ya nyimbo zake wekeni hapa tujikumbushe utamu wa nyimbo za huyu jamaa.

Tupieni hapa zote alizoshirikishwa na zile alizoomba akiwa kwenye muungano wa bendi mbalimbali.

Karibuni wakuu

 
Hasa akiungana na Rwiza, Ali Choki na Banza Stone (RIP).
 
Nyimbo alikuwa anatunga Mudhihiri Mohammed mbunge wa jimbo la Mchinga, usimpe Mwinjuma sifa asizokuwa nazo
 
Nyimbo alikuwa anatunga Mudhihiri Mohammed mbunge wa jimbo la Mchinga, usimpe Mwinjuma sifa asizokuwa nazo
sawa mkuu basi taja nyimbo zake japo chache nizitafute maana alikuwa ananivutia sana uimbaji wake
 
Nyimbo alikuwa anatunga Mudhihiri Mohammed mbunge wa jimbo la Mchinga, usimpe Mwinjuma sifa asizokuwa nazo
Ni nyimbo kama zipi alizotamba nazo Mwumini huku zikiwa zimetungwa na huyo Mudhihiri Mudhihiri? Hata pale Mwumini alipokuwa nje ya band ya Mchinga Sound iliyokuwa ikimilikiwa na Mudhihiri bado ni huyo huyo Mudhihiri ndiye alimtungia nyimbo zilizomfanya atambe?
 
wakuu tajeni nyimbo basi alizoimba huyu mwamba
 
Muumini alitisha akiwa mchinga then tamtam. Kwa ulinganisho wa wanamziki wa kizazi chake, banza aliwazidi hatua moja mbele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…