NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Mimi namshukuru Kwa mazuri yake!
Yale mabaya Mungu Mwenyezi amsamehe!!
Yale mabaya Mungu Mwenyezi amsamehe!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnaweza kula ulojo tu lakini kazi ni sifuriYeye na baba yako ni nani ddhaifu? Maana mpaka leo baba yako analiwa tu
Ngoja kwanza udini ukiisha utajenga hoja nzuriViongozi wengi wa kiislamu hawana nongwa,wale wengine Sasa [emoji16][emoji16][emoji16]
Alikuwa rais dhaifu sana, mke wake alianza ufisadi kwa ikulu, aliacha kila kitu kijiendee kivyake na ndio hasa asili ya ruksaTafakuri Jadidi:
Mzee Mwinyi Anaondoka Na Hatuna Kinyongo Nae..
" Kila zama na kitabu chake"- Ali Hassan Mwinyi.
Na leo Watanzania zimetufikia habari za kuhitimishwa kwa Sura ya Mwisho ya Kitabu Cha Mzee Mwinyi. Ameifariki Dunia.
Umma umegubikwa na simanzi. Mzee Mwinyi tulimpenda sana.
Naam, kwamba ‘ Kila Zama Na Kitabu Chake’ maneno hayo yalipata kusemwa na Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi. Ni miaka mingi iliyopita.
Kwenye kila zama na kitabu chake, Mzee Mwinyi anazungumzia juu ya nyakati. Uwezo wa kusoma alama za nyakati. Mwanafalsafa Benjamin Di Israel alipata kuzungumzia juu ya dhana ya kiongozi mzuri.
Kwamba kiongozi mzuri ni yule anayejijua mwenyewe na nyakati zinazomzunguka- He who knows himself and the time that sorounds him. ( Zilikuwa nyakati nyingine, siku hizi Kiongozi Mkuu aweza kuwa mwanamke kama ilivyo kwetu.)
Na ilivyo kwa mwanadamu, hata anapogombea nafasi ya juu ya uongozi wa nchi, mbali ya matarajio ya chama kilichomteua, naye, kama mwanadamu, huwa na matarajio yake ya anayotaka akumbukwe nayo pindi atakapotoka madarakani. Inahusu legacy.
Kwa mtazamo wangu, na wengi wenye kufuatilia masuala ya kisiasa, Mzee Ali Hassan Mwinyi alikuwa ' Mliberali'.
Alipoingia madarakani alikutana na jamii iliyozoea ' marufuku' ya hiki na kile. Mzee Mwinyi akaja na ' ruksa' kwa watu kufanya mambo yao alimradi wanafuata sheria. Ndio msingi wa kuitwa " Mzee Ruksa'.
Naam, zama za Mzee Mwinyi zilikuwa ni ' Zama za Ruksa'. Ni zama zilizofungua milango ya watu kufanya biashara na upana wa demokrasia ikiwamo uhuru wa watu kujieleza ikiwamo magazeti na hata Televisheni.
Na kwenye utawala wake, Mzee Mwinyi alivumilia maneno mengi dhidi yake. Mwinyi hakuishia kusemwa tu, kuna hata waliodiriki ' Kumtukana matusi ya nguoni' kama alivyotamka mwenyewe kwenye moja ya hotuba zake miaka ile ya 90 mwanzoni.
Lakini, Mzee Mwinyi hakuyumbishwa katika yale mema aliyoazimia kuwatendea watu wake.
Siku moja kabla ya kukabidhi madaraka kwa Benjamin Mkapa, Mzee Mwinyi, akiwa chini ya shutuma nyingi dhidi yake kwenye vyombo vya habari na hata Wana- CCM wenzake, alichagua kwenda kuzungumza na Wananchi pale Manzese.
Ndio, Mwinyi aliongea na wananchi wa hali za chini kwenye viwanja vya Shule ya Msingi Ukombozi; eneo la Manzese Uzuri. Nilikuwepo pale viwanjani kushuhudia tukio lile.
Mzee Mwinyi kwenye hotuba yake alianza kwa
kuwashukuru wananchi na baadae akasema;
" Ndugu zangu,
Nilipoingia madarakani niliwakuta mkipanga foleni ya sukari, unga, na hata mkinunua bidhaa muhimu kwenye ' Maduka ya Kaya, kweli si kweli?"
" Kweliii...!" Umma uliitikia.
"Je, leo mnapanga foleni ya sukari au kwenda kununua bidhaa muhimu kwenye maduka ya kaya tu?" - Mwinyi aliwauliza wananchi wale.
Jibu likawa la sauti ya jumla;
" Hapanaa!"
Mwinyi akaendelea na kuwapa mifano mingine kadhaa ya hali aliyoikuta akiingia madarakani, na kuwauliza wananchi wale kama hali imebaki hivyo hivyo kwa wakati ule akiondoka madarakani. Na majibu yakawa ni ' Hapanaa!"
Na siku ikawadia. Ni siku ya kwenda Uwanja wa Taifa kukabidhi mamlaka ya uongozi wa nchi kwa Benjamin Mkapa. Kuna wananchi waliojipanga kutoka Ikulu ya Magogoni kumpungia mikono ya kumsindikiza Mwinyi akielekea Uwanja wa Taifa.
Na pale uwanjani Mwinyi alipokewa na sauti za ' Ruksaa, Ruksaa!" Ni kutoka kwa Wananchi.
Naam, kila zama na kitabu chake.
Kwaheri Mzee Wetu Mpendwa, Alhaj Ali Hassan Mwinyi.
PS:
Na kwenye moja ya hotuba zake za kuwaaga Wananchi wake Mzee Mwinyi alisikika akisema;
" Na wote walonitukana, hata matusi ya nguoni mie sina kinyongo nao."
Nasi twasema, hatuna kinyongo na Mzee wetu Ali Hassan Mwinyi.
Mungu wetu sisi majirani zenu ana nguvu isiyo pimika... Yeye ndo anatutetea sisiMungu wenu hamumtetei!?
Ni kweli alikuwa mtu muungwana saaaaana! Apumzike pema.Tafakuri Jadidi:
Mzee Mwinyi Anaondoka Na Hatuna Kinyongo Nae..
" Kila zama na kitabu chake"- Ali Hassan Mwinyi.
Na leo Watanzania zimetufikia habari za kuhitimishwa kwa Sura ya Mwisho ya Kitabu Cha Mzee Mwinyi. Ameifariki Dunia.
Umma umegubikwa na simanzi. Mzee Mwinyi tulimpenda sana.
Naam, kwamba ‘ Kila Zama Na Kitabu Chake’ maneno hayo yalipata kusemwa na Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi. Ni miaka mingi iliyopita.
Kwenye kila zama na kitabu chake, Mzee Mwinyi anazungumzia juu ya nyakati. Uwezo wa kusoma alama za nyakati. Mwanafalsafa Benjamin Di Israel alipata kuzungumzia juu ya dhana ya kiongozi mzuri.
Kwamba kiongozi mzuri ni yule anayejijua mwenyewe na nyakati zinazomzunguka- He who knows himself and the time that sorounds him. ( Zilikuwa nyakati nyingine, siku hizi Kiongozi Mkuu aweza kuwa mwanamke kama ilivyo kwetu.)
Na ilivyo kwa mwanadamu, hata anapogombea nafasi ya juu ya uongozi wa nchi, mbali ya matarajio ya chama kilichomteua, naye, kama mwanadamu, huwa na matarajio yake ya anayotaka akumbukwe nayo pindi atakapotoka madarakani. Inahusu legacy.
Kwa mtazamo wangu, na wengi wenye kufuatilia masuala ya kisiasa, Mzee Ali Hassan Mwinyi alikuwa ' Mliberali'.
Alipoingia madarakani alikutana na jamii iliyozoea ' marufuku' ya hiki na kile. Mzee Mwinyi akaja na ' ruksa' kwa watu kufanya mambo yao alimradi wanafuata sheria. Ndio msingi wa kuitwa " Mzee Ruksa'.
Naam, zama za Mzee Mwinyi zilikuwa ni ' Zama za Ruksa'. Ni zama zilizofungua milango ya watu kufanya biashara na upana wa demokrasia ikiwamo uhuru wa watu kujieleza ikiwamo magazeti na hata Televisheni.
Na kwenye utawala wake, Mzee Mwinyi alivumilia maneno mengi dhidi yake. Mwinyi hakuishia kusemwa tu, kuna hata waliodiriki ' Kumtukana matusi ya nguoni' kama alivyotamka mwenyewe kwenye moja ya hotuba zake miaka ile ya 90 mwanzoni.
Lakini, Mzee Mwinyi hakuyumbishwa katika yale mema aliyoazimia kuwatendea watu wake.
Siku moja kabla ya kukabidhi madaraka kwa Benjamin Mkapa, Mzee Mwinyi, akiwa chini ya shutuma nyingi dhidi yake kwenye vyombo vya habari na hata Wana- CCM wenzake, alichagua kwenda kuzungumza na Wananchi pale Manzese.
Ndio, Mwinyi aliongea na wananchi wa hali za chini kwenye viwanja vya Shule ya Msingi Ukombozi; eneo la Manzese Uzuri. Nilikuwepo pale viwanjani kushuhudia tukio lile.
Mzee Mwinyi kwenye hotuba yake alianza kwa
kuwashukuru wananchi na baadae akasema;
" Ndugu zangu,
Nilipoingia madarakani niliwakuta mkipanga foleni ya sukari, unga, na hata mkinunua bidhaa muhimu kwenye ' Maduka ya Kaya, kweli si kweli?"
" Kweliii...!" Umma uliitikia.
"Je, leo mnapanga foleni ya sukari au kwenda kununua bidhaa muhimu kwenye maduka ya kaya tu?" - Mwinyi aliwauliza wananchi wale.
Jibu likawa la sauti ya jumla;
" Hapanaa!"
Mwinyi akaendelea na kuwapa mifano mingine kadhaa ya hali aliyoikuta akiingia madarakani, na kuwauliza wananchi wale kama hali imebaki hivyo hivyo kwa wakati ule akiondoka madarakani. Na majibu yakawa ni ' Hapanaa!"
Na siku ikawadia. Ni siku ya kwenda Uwanja wa Taifa kukabidhi mamlaka ya uongozi wa nchi kwa Benjamin Mkapa. Kuna wananchi waliojipanga kutoka Ikulu ya Magogoni kumpungia mikono ya kumsindikiza Mwinyi akielekea Uwanja wa Taifa.
Na pale uwanjani Mwinyi alipokewa na sauti za ' Ruksaa, Ruksaa!" Ni kutoka kwa Wananchi.
Naam, kila zama na kitabu chake.
Kwaheri Mzee Wetu Mpendwa, Alhaj Ali Hassan Mwinyi.
PS:
Na kwenye moja ya hotuba zake za kuwaaga Wananchi wake Mzee Mwinyi alisikika akisema;
" Na wote walonitukana, hata matusi ya nguoni mie sina kinyongo nao."
Nasi twasema, hatuna kinyongo na Mzee wetu Ali Hassan Mwinyi.
Wwww ACHA bwana wakati yeye ni Rais wewe ulikwa mtoto hujui lolote la kiduniaTafakuri Jadidi:
Mzee Mwinyi Anaondoka Na Hatuna Kinyongo Nae..
" Kila zama na kitabu chake"- Ali Hassan Mwinyi.
Na leo Watanzania zimetufikia habari za kuhitimishwa kwa Sura ya Mwisho ya Kitabu Cha Mzee Mwinyi. Ameifariki Dunia.
Umma umegubikwa na simanzi. Mzee Mwinyi tulimpenda sana.
Naam, kwamba ‘ Kila Zama Na Kitabu Chake’ maneno hayo yalipata kusemwa na Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi. Ni miaka mingi iliyopita.
Kwenye kila zama na kitabu chake, Mzee Mwinyi anazungumzia juu ya nyakati. Uwezo wa kusoma alama za nyakati. Mwanafalsafa Benjamin Di Israel alipata kuzungumzia juu ya dhana ya kiongozi mzuri.
Kwamba kiongozi mzuri ni yule anayejijua mwenyewe na nyakati zinazomzunguka- He who knows himself and the time that sorounds him. ( Zilikuwa nyakati nyingine, siku hizi Kiongozi Mkuu aweza kuwa mwanamke kama ilivyo kwetu.)
Na ilivyo kwa mwanadamu, hata anapogombea nafasi ya juu ya uongozi wa nchi, mbali ya matarajio ya chama kilichomteua, naye, kama mwanadamu, huwa na matarajio yake ya anayotaka akumbukwe nayo pindi atakapotoka madarakani. Inahusu legacy.
Kwa mtazamo wangu, na wengi wenye kufuatilia masuala ya kisiasa, Mzee Ali Hassan Mwinyi alikuwa ' Mliberali'.
Alipoingia madarakani alikutana na jamii iliyozoea ' marufuku' ya hiki na kile. Mzee Mwinyi akaja na ' ruksa' kwa watu kufanya mambo yao alimradi wanafuata sheria. Ndio msingi wa kuitwa " Mzee Ruksa'.
Naam, zama za Mzee Mwinyi zilikuwa ni ' Zama za Ruksa'. Ni zama zilizofungua milango ya watu kufanya biashara na upana wa demokrasia ikiwamo uhuru wa watu kujieleza ikiwamo magazeti na hata Televisheni.
Na kwenye utawala wake, Mzee Mwinyi alivumilia maneno mengi dhidi yake. Mwinyi hakuishia kusemwa tu, kuna hata waliodiriki ' Kumtukana matusi ya nguoni' kama alivyotamka mwenyewe kwenye moja ya hotuba zake miaka ile ya 90 mwanzoni.
Lakini, Mzee Mwinyi hakuyumbishwa katika yale mema aliyoazimia kuwatendea watu wake.
Siku moja kabla ya kukabidhi madaraka kwa Benjamin Mkapa, Mzee Mwinyi, akiwa chini ya shutuma nyingi dhidi yake kwenye vyombo vya habari na hata Wana- CCM wenzake, alichagua kwenda kuzungumza na Wananchi pale Manzese.
Ndio, Mwinyi aliongea na wananchi wa hali za chini kwenye viwanja vya Shule ya Msingi Ukombozi; eneo la Manzese Uzuri. Nilikuwepo pale viwanjani kushuhudia tukio lile.
Mzee Mwinyi kwenye hotuba yake alianza kwa
kuwashukuru wananchi na baadae akasema;
" Ndugu zangu,
Nilipoingia madarakani niliwakuta mkipanga foleni ya sukari, unga, na hata mkinunua bidhaa muhimu kwenye ' Maduka ya Kaya, kweli si kweli?"
" Kweliii...!" Umma uliitikia.
"Je, leo mnapanga foleni ya sukari au kwenda kununua bidhaa muhimu kwenye maduka ya kaya tu?" - Mwinyi aliwauliza wananchi wale.
Jibu likawa la sauti ya jumla;
" Hapanaa!"
Mwinyi akaendelea na kuwapa mifano mingine kadhaa ya hali aliyoikuta akiingia madarakani, na kuwauliza wananchi wale kama hali imebaki hivyo hivyo kwa wakati ule akiondoka madarakani. Na majibu yakawa ni ' Hapanaa!"
Na siku ikawadia. Ni siku ya kwenda Uwanja wa Taifa kukabidhi mamlaka ya uongozi wa nchi kwa Benjamin Mkapa. Kuna wananchi waliojipanga kutoka Ikulu ya Magogoni kumpungia mikono ya kumsindikiza Mwinyi akielekea Uwanja wa Taifa.
Na pale uwanjani Mwinyi alipokewa na sauti za ' Ruksaa, Ruksaa!" Ni kutoka kwa Wananchi.
Naam, kila zama na kitabu chake.
Kwaheri Mzee Wetu Mpendwa, Alhaj Ali Hassan Mwinyi.
PS:
Na kwenye moja ya hotuba zake za kuwaaga Wananchi wake Mzee Mwinyi alisikika akisema;
" Na wote walonitukana, hata matusi ya nguoni mie sina kinyongo nao."
Nasi twasema, hatuna kinyongo na Mzee wetu Ali Hassan Mwinyi.
Mama yangu hayupo kijijini ni mkufunzi somewhere... Huwa anaendaga kijijini tu.. msimu wa kilimo....Unawaza udini tu mbwa wewe
! Mama yako kijijini amekula?
Hukuwahi kuishi katika utawala wake- unasimuliwa tuTafakuri Jadidi:
Mzee Mwinyi Anaondoka Na Hatuna Kinyongo Nae..
" Kila zama na kitabu chake"- Ali Hassan Mwinyi.
Na leo Watanzania zimetufikia habari za kuhitimishwa kwa Sura ya Mwisho ya Kitabu Cha Mzee Mwinyi. Ameifariki Dunia.
Umma umegubikwa na simanzi. Mzee Mwinyi tulimpenda sana.
Naam, kwamba ‘ Kila Zama Na Kitabu Chake’ maneno hayo yalipata kusemwa na Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi. Ni miaka mingi iliyopita.
Kwenye kila zama na kitabu chake, Mzee Mwinyi anazungumzia juu ya nyakati. Uwezo wa kusoma alama za nyakati. Mwanafalsafa Benjamin Di Israel alipata kuzungumzia juu ya dhana ya kiongozi mzuri.
Kwamba kiongozi mzuri ni yule anayejijua mwenyewe na nyakati zinazomzunguka- He who knows himself and the time that sorounds him. ( Zilikuwa nyakati nyingine, siku hizi Kiongozi Mkuu aweza kuwa mwanamke kama ilivyo kwetu.)
Na ilivyo kwa mwanadamu, hata anapogombea nafasi ya juu ya uongozi wa nchi, mbali ya matarajio ya chama kilichomteua, naye, kama mwanadamu, huwa na matarajio yake ya anayotaka akumbukwe nayo pindi atakapotoka madarakani. Inahusu legacy.
Kwa mtazamo wangu, na wengi wenye kufuatilia masuala ya kisiasa, Mzee Ali Hassan Mwinyi alikuwa ' Mliberali'.
Alipoingia madarakani alikutana na jamii iliyozoea ' marufuku' ya hiki na kile. Mzee Mwinyi akaja na ' ruksa' kwa watu kufanya mambo yao alimradi wanafuata sheria. Ndio msingi wa kuitwa " Mzee Ruksa'.
Naam, zama za Mzee Mwinyi zilikuwa ni ' Zama za Ruksa'. Ni zama zilizofungua milango ya watu kufanya biashara na upana wa demokrasia ikiwamo uhuru wa watu kujieleza ikiwamo magazeti na hata Televisheni.
Na kwenye utawala wake, Mzee Mwinyi alivumilia maneno mengi dhidi yake. Mwinyi hakuishia kusemwa tu, kuna hata waliodiriki ' Kumtukana matusi ya nguoni' kama alivyotamka mwenyewe kwenye moja ya hotuba zake miaka ile ya 90 mwanzoni.
Lakini, Mzee Mwinyi hakuyumbishwa katika yale mema aliyoazimia kuwatendea watu wake.
Siku moja kabla ya kukabidhi madaraka kwa Benjamin Mkapa, Mzee Mwinyi, akiwa chini ya shutuma nyingi dhidi yake kwenye vyombo vya habari na hata Wana- CCM wenzake, alichagua kwenda kuzungumza na Wananchi pale Manzese.
Ndio, Mwinyi aliongea na wananchi wa hali za chini kwenye viwanja vya Shule ya Msingi Ukombozi; eneo la Manzese Uzuri. Nilikuwepo pale viwanjani kushuhudia tukio lile.
Mzee Mwinyi kwenye hotuba yake alianza kwa
kuwashukuru wananchi na baadae akasema;
" Ndugu zangu,
Nilipoingia madarakani niliwakuta mkipanga foleni ya sukari, unga, na hata mkinunua bidhaa muhimu kwenye ' Maduka ya Kaya, kweli si kweli?"
" Kweliii...!" Umma uliitikia.
"Je, leo mnapanga foleni ya sukari au kwenda kununua bidhaa muhimu kwenye maduka ya kaya tu?" - Mwinyi aliwauliza wananchi wale.
Jibu likawa la sauti ya jumla;
" Hapanaa!"
Mwinyi akaendelea na kuwapa mifano mingine kadhaa ya hali aliyoikuta akiingia madarakani, na kuwauliza wananchi wale kama hali imebaki hivyo hivyo kwa wakati ule akiondoka madarakani. Na majibu yakawa ni ' Hapanaa!"
Na siku ikawadia. Ni siku ya kwenda Uwanja wa Taifa kukabidhi mamlaka ya uongozi wa nchi kwa Benjamin Mkapa. Kuna wananchi waliojipanga kutoka Ikulu ya Magogoni kumpungia mikono ya kumsindikiza Mwinyi akielekea Uwanja wa Taifa.
Na pale uwanjani Mwinyi alipokewa na sauti za ' Ruksaa, Ruksaa!" Ni kutoka kwa Wananchi.
Naam, kila zama na kitabu chake.
Kwaheri Mzee Wetu Mpendwa, Alhaj Ali Hassan Mwinyi.
PS:
Na kwenye moja ya hotuba zake za kuwaaga Wananchi wake Mzee Mwinyi alisikika akisema;
" Na wote walonitukana, hata matusi ya nguoni mie sina kinyongo nao."
Nasi twasema, hatuna kinyongo na Mzee wetu Ali Hassan Mwinyi.
Aliifungua nchi, lakini uta wala wake kama zingine zilizofuata ulijaa wizi mwingi, mama siti mwinyi ndie alikuwa anaongoza genge LA wizi na biashara haramu ya dhahabu, mizigo yake ilipokamatwa, airport wakati Lyatonga mrema ndio waziri wa Mambo ya ndani, iliperekea, Mrema, kutumbuliwa!Tafakuri Jadidi:
Mzee Mwinyi Anaondoka Na Hatuna Kinyongo Nae..
" Kila zama na kitabu chake"- Ali Hassan Mwinyi.
Na leo Watanzania zimetufikia habari za kuhitimishwa kwa Sura ya Mwisho ya Kitabu Cha Mzee Mwinyi. Ameifariki Dunia.
Umma umegubikwa na simanzi. Mzee Mwinyi tulimpenda sana.
Naam, kwamba ‘ Kila Zama Na Kitabu Chake’ maneno hayo yalipata kusemwa na Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi. Ni miaka mingi iliyopita.
Kwenye kila zama na kitabu chake, Mzee Mwinyi anazungumzia juu ya nyakati. Uwezo wa kusoma alama za nyakati. Mwanafalsafa Benjamin Di Israel alipata kuzungumzia juu ya dhana ya kiongozi mzuri.
Kwamba kiongozi mzuri ni yule anayejijua mwenyewe na nyakati zinazomzunguka- He who knows himself and the time that sorounds him. ( Zilikuwa nyakati nyingine, siku hizi Kiongozi Mkuu aweza kuwa mwanamke kama ilivyo kwetu.)
Na ilivyo kwa mwanadamu, hata anapogombea nafasi ya juu ya uongozi wa nchi, mbali ya matarajio ya chama kilichomteua, naye, kama mwanadamu, huwa na matarajio yake ya anayotaka akumbukwe nayo pindi atakapotoka madarakani. Inahusu legacy.
Kwa mtazamo wangu, na wengi wenye kufuatilia masuala ya kisiasa, Mzee Ali Hassan Mwinyi alikuwa ' Mliberali'.
Alipoingia madarakani alikutana na jamii iliyozoea ' marufuku' ya hiki na kile. Mzee Mwinyi akaja na ' ruksa' kwa watu kufanya mambo yao alimradi wanafuata sheria. Ndio msingi wa kuitwa " Mzee Ruksa'.
Naam, zama za Mzee Mwinyi zilikuwa ni ' Zama za Ruksa'. Ni zama zilizofungua milango ya watu kufanya biashara na upana wa demokrasia ikiwamo uhuru wa watu kujieleza ikiwamo magazeti na hata Televisheni.
Na kwenye utawala wake, Mzee Mwinyi alivumilia maneno mengi dhidi yake. Mwinyi hakuishia kusemwa tu, kuna hata waliodiriki ' Kumtukana matusi ya nguoni' kama alivyotamka mwenyewe kwenye moja ya hotuba zake miaka ile ya 90 mwanzoni.
Lakini, Mzee Mwinyi hakuyumbishwa katika yale mema aliyoazimia kuwatendea watu wake.
Siku moja kabla ya kukabidhi madaraka kwa Benjamin Mkapa, Mzee Mwinyi, akiwa chini ya shutuma nyingi dhidi yake kwenye vyombo vya habari na hata Wana- CCM wenzake, alichagua kwenda kuzungumza na Wananchi pale Manzese.
Ndio, Mwinyi aliongea na wananchi wa hali za chini kwenye viwanja vya Shule ya Msingi Ukombozi; eneo la Manzese Uzuri. Nilikuwepo pale viwanjani kushuhudia tukio lile.
Mzee Mwinyi kwenye hotuba yake alianza kwa
kuwashukuru wananchi na baadae akasema;
" Ndugu zangu,
Nilipoingia madarakani niliwakuta mkipanga foleni ya sukari, unga, na hata mkinunua bidhaa muhimu kwenye ' Maduka ya Kaya, kweli si kweli?"
" Kweliii...!" Umma uliitikia.
"Je, leo mnapanga foleni ya sukari au kwenda kununua bidhaa muhimu kwenye maduka ya kaya tu?" - Mwinyi aliwauliza wananchi wale.
Jibu likawa la sauti ya jumla;
" Hapanaa!"
Mwinyi akaendelea na kuwapa mifano mingine kadhaa ya hali aliyoikuta akiingia madarakani, na kuwauliza wananchi wale kama hali imebaki hivyo hivyo kwa wakati ule akiondoka madarakani. Na majibu yakawa ni ' Hapanaa!"
Na siku ikawadia. Ni siku ya kwenda Uwanja wa Taifa kukabidhi mamlaka ya uongozi wa nchi kwa Benjamin Mkapa. Kuna wananchi waliojipanga kutoka Ikulu ya Magogoni kumpungia mikono ya kumsindikiza Mwinyi akielekea Uwanja wa Taifa.
Na pale uwanjani Mwinyi alipokewa na sauti za ' Ruksaa, Ruksaa!" Ni kutoka kwa Wananchi.
Naam, kila zama na kitabu chake.
Kwaheri Mzee Wetu Mpendwa, Alhaj Ali Hassan Mwinyi.
PS:
Na kwenye moja ya hotuba zake za kuwaaga Wananchi wake Mzee Mwinyi alisikika akisema;
" Na wote walonitukana, hata matusi ya nguoni mie sina kinyongo nao."
Nasi twasema, hatuna kinyongo na Mzee wetu Ali Hassan Mwinyi.
Upeo mdogo ukiona jitu zima linaongelea udiniViongozi wengi wa kiislamu hawana nongwa,wale wengine Sasa [emoji16][emoji16][emoji16]
Udini gani Sasa wewe mwenye upepo mkubwa? Kwani ni uongo watu wa dini Ile Huwa wanavurunda maisha ya watu na Wana roho mbaya? 😁😁Upeo mdogo ukiona jitu zima linaongelea udini
Mbona mnamtolea fungu la kumi,Hana hela!?..mnamsaidia kuhubiri badala ahubiri mwenyewe huko tumsikie,au ni kibogoyo!?..Mara anataka sadaka ya kuteketeza,anapenda nyama choma na Hana wanyama!?Mungu wetu sisi majirani zenu ana nguvu isiyo pimika... Yeye ndo anatutetea sisi
Jibu swali langu kwanza.Aliyeuza migodi hiyo akishirikiana na Rostam anafahamika!Mgodi wa dhahabu geita na kahama inamilikiwa na nani!?