Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,303
- 14,983
Wakuu Habari
Jana timu ya taifa DRC ilishuka dimbani dhidi ya Uganda nakuambulia kipigo cha 2-0
Sasa alipoulizwa kwann kapoteza game ile akaanza lawama Kama Kawaida yake eti CAF waliwapeleka kuchukua vpimo hospital wachezaji toka saa mbili asbh had tano usiku hivyo ilipelekea kupoteza mchezo
Lakn ukiangalia katka mchezo ule utaona kabisa Uganda waliwashika vzuri DRC
Ushauri wangu ZAHERA MWINYI awe ana kubali tu matokeo maana Hali halisi inaonekana wazi uwanjan
Kwa nn asikipate?Alikuambia kuwa nae ni Member wa JamiiForums kwahiyo ulichokiandika hapa atakipata / atakisoma?
Huu mwandiko kama naufananisha mkuu?? Unafanana na mwandiko wa popoma flani!Alikuambia kuwa nae ni Member wa JamiiForums kwahiyo ulichokiandika hapa atakipata / atakisoma?
Hutapata jibu la kueleweka kwenye hili swali.Je alichoongea ni cha kweli au ni uongo?