"Mchezaji anayefanya mazoezi na kuhudhuria program za mwalimu ndiye ninayempanga.Kila siku usiku kocha wa mazoezi ananipatia list ya wachezaji waliohuzuria mazoezi na wasio huzuria katika siku 14 Ibrahim ajib amefanya mazoezi mara nne na kwenye mechi 3 za kirafiki 2 kati yake ibrahim ajib hakuonekana.
"Hata alivyokuja nikasema siwezi kumchezesha mchezaji asiyefanya mazoezi
"Napenda nifungwe na nishinde na wachezaji wenye descipline
"Tumecheza mechi karibia tatu bila Ajibu pia tumecheza mechi mbili bila Yondani na tulifanya vizuri najua ni wachezaji wazuri na wakubwa lakini siwezi kuwatumia nitawapa confidence vijana wangu vchwa ngumu na ndio nitakao watumia na kamwe siwezi kuwachezesha kwangu mimi napenda nifungwe,nishindwe na wachezaji wanaofanya mazoezi kila siku.
"Hata alivyokuja nikasema siwezi kumchezesha mchezaji asiyefanya mazoezi
"Napenda nifungwe na nishinde na wachezaji wenye descipline
"Tumecheza mechi karibia tatu bila Ajibu pia tumecheza mechi mbili bila Yondani na tulifanya vizuri najua ni wachezaji wazuri na wakubwa lakini siwezi kuwatumia nitawapa confidence vijana wangu vchwa ngumu na ndio nitakao watumia na kamwe siwezi kuwachezesha kwangu mimi napenda nifungwe,nishindwe na wachezaji wanaofanya mazoezi kila siku.