Soloma TV Online
Senior Member
- Jun 26, 2023
- 104
- 291
Aliyewahi kuwa Kocha Mkuu wa Yanga Mwinyi Zahera ajiunga na Timu ya Soka ya Coastal Union ya Tanga.
Pamoja na kutokuwa na misimu mizuri kwa timu mbalimbali alizohudumu nchini lakini bado Kocha huyo ana bahati nzuri na mpira wa Tanzania.
Pamoja na kutokuwa na misimu mizuri kwa timu mbalimbali alizohudumu nchini lakini bado Kocha huyo ana bahati nzuri na mpira wa Tanzania.