Mnamsema Beno Kakolanya kahongwa na Simba,kwa fitna za watani wa jadi inawezekana Simba wamemkatia mshiko Zahera na kumwambia "mzee kula maisha bila kazi achana na vyura"
Wakati mwingine uwa najiuliza hv kiuchumi tungekuwa na pesa kama simba alafu kikosi kipana kama chenu nadhani ata barcelona wangekalishwa pale kwa mchina.