OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Hali imeendelea kuwa tete Yanga baada ya kocha wao kutimkia Ufaransa.
Pamoja na Yanga kutaka kuwa amekwenda kwenye matibabu,taarifa za ndani zinaonyesha Mwinyi kakimbia njaa. Club ya Yanga imekumbwa na njaa kuliko wakati wowote na kushindwa kabisa kifanya isajiri katika dirisha dogo.
Yanga imeshindwa kukidhi mapendekezo ya kocha kusajiri ikiwa ni dakikw za mwisho. Yanga imeshindwa kulipa ada za usajiri wa vifaa vitatu bila kumuweka wazi kocha.
Pamoja na Yanga kutaka kuwa amekwenda kwenye matibabu,taarifa za ndani zinaonyesha Mwinyi kakimbia njaa. Club ya Yanga imekumbwa na njaa kuliko wakati wowote na kushindwa kabisa kifanya isajiri katika dirisha dogo.
Yanga imeshindwa kukidhi mapendekezo ya kocha kusajiri ikiwa ni dakikw za mwisho. Yanga imeshindwa kulipa ada za usajiri wa vifaa vitatu bila kumuweka wazi kocha.