Mwinyi Zahera anakuwa mjuaji mpaka anaboa

Mwinyi Zahera anakuwa mjuaji mpaka anaboa

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
51987060_1572891622846759_958462054212042752_n.jpg


 
Huyu kocha anaropoka sana,nadhani kasahau kwamba Kazi yake ni kufundisha mpira,
Kila siku anatoa tuhuma nzito nzito,
Nadhani ni muda muafaka sasa wa Mamlaka zimtake athibitishe tuhuma anazotoa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh kupanic ni kubaya...unaweza kuongea vitu visivyo vya hadhi yako
 
Manara saizi ya vyura uko wapi? Weka kati Huyu zahera aache kulopoka ovyo!!
 
Back
Top Bottom