Mwinyi Zahera awapa offer waandishi wa habari za mchezo

Mwinyi Zahera awapa offer waandishi wa habari za mchezo

Kwani si ndiyo tafsiri ya aliyosema kocha? Amesema wanaongoza Ligi wakiwa wameshinda mechi 16, au amesema wameshashinda/watashinda zote? Au amesema tayari ushindi huo umeshawapa ubingwa? Au ulitaka akufurahishe kwa kusema timu yake inaburura mkia hata kama unajua siyo kweli?
Mbumbumbu hiyo achana nayo!
 
Yaani una maanisha msosi au Bahasha? Maana wandishi nao kwa bahasha..hawajambo!
wakija kwenye taasisi yako ukiwa hotoi bahasha cha moto utakiona, watatumia bunduki ya ncha yao ya kalamu mpaka ukome
 
Tunahitaji game kama 12 tutangazwe mabingwa mkuu jambo ambalo ni possible kutokea bila kuwa hata na PhD ya utabiri
Mkuu hizo game 12 mtakutana na wanaopigana wasishuke daraja na wale wanaouhitaji ubingwa bila kuwasahau wataka kulinda heshma.
 
Back
Top Bottom