Vyura bwana kila uchao wanachakaa kocha wao mwenyewe yupo pale kwa ajili ya ku-volunteer ili apate experience na si kufundisha timu as a professional coach na ndo maana hata timu yao ya taifa iliharibu kweye AFCON. wachezaji walikuwa wanacheza kwa uwezo wao na si maelekezo ya makocha wao.
Vyuraaaa wa baridiiiiiiiiiii!!!!