Mwinyi Zahera namwelewa sana kwakweli,ana weledi wa hali ya juu,kumbe ndo maana Congo wanafanikiwa kisoka

Mwinyi Zahera namwelewa sana kwakweli,ana weledi wa hali ya juu,kumbe ndo maana Congo wanafanikiwa kisoka

Chukwu emeka

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2018
Posts
24,314
Reaction score
38,919
FB_IMG_1544958611812.jpg

“Huyo aliyempa pesa Kakolanya, aje awape na hawa wengine kwa sababu si yeye tu anayedai, ikitokea hawa waliobaki nao wakagoma kucheza jumapili unadhani itakuwaje, siwezi kumpokea tena, atafute timu nyingine hapa kwetu nafasi yake haipo “ - KOCHA ZAHERA MWINYI

Mara baada ya Benno kupewa Million 2 na Musiba
 
View attachment 969676
“Huyo aliyempa pesa Kakolanya, aje awape na hawa wengine kwa sababu si yeye tu anayedai, ikitokea hawa waliobaki nao wakagoma kucheza jumapili unadhani itakuwaje, siwezi kumpokea tena, atafute timu nyingine hapa kwetu nafasi yake haipo “ - KOCHA ZAHERA MWINYI

Mara baada ya Benno kupewa Million 2 na Musiba
Kocha iko akili mingi sana....Beno aende akadakie Musiba Queen football club....

Zahera anatoa Bonge la Somo ktk Mpira wa Tanzania....
 
BAKINI NA UMOJA WA.KITAIFA FAMILIA ZENU ZINASHINDA SLIPWAY NA MAVYAKULA EXPD ACHENI UJINGA WANAFAMILIA NAWAO MSIWAFANYE.MISUKULE
 
Back
Top Bottom