Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
“Huyo aliyempa pesa Kakolanya, aje awape na hawa wengine kwa sababu si yeye tu anayedai, ikitokea hawa waliobaki nao wakagoma kucheza jumapili unadhani itakuwaje, siwezi kumpokea tena, atafute timu nyingine hapa kwetu nafasi yake haipo “ - KOCHA ZAHERA MWINYI
Mara baada ya Benno kupewa Million 2 na Musiba