Mwinyi Zahera: Narejea Tanzania kuchukua malimbikizo yangu ya fedha kwa Yanga

Ni m-vua vipensii au mvaa vipensii. Teheteheee tehetehee.

Vyuraa vyurani, mkongo huyu tapeli atawaganda hadi kome
 
..........Acha umbea mjomba tulia uandike vizuri.
 
Dah wamlipe mapema asee yasijetokea ya mzungu akazuia malori yetu huko Lubumbashi

Na kama wanataka kupitisha Bakuri tena basi safari hii wampelekee Rz1 na Mzee JK kwani waTz wamewachoka mtaani
 
Walimalizana kimyakimya, wewe unataka nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…