COARTEM
JF-Expert Member
- Nov 26, 2013
- 3,603
- 3,658
Modds sijui mtafanyaje, lakini angalieni namna ya kuwafikishia ujumbe hawa wadogo zetu waliofanya Application kupitia NACTE kwa kozi za Afya. First batch imetoka kwa waliokuwa selected., tatizo ni kwamba inabidi mtu a- CONFIRM hiyo selection aliyopewa. Asipo Confirm kesho jamaa nafasi hiyo wanampa mtu mwingine. Mimi mwenyewe nimeona leo kwa ndugu yangu, haraka sana tumeshafanya CONFIRMATION. Hebu tuwasaidie watoto na wadogo zetu.
Mnaweza ingia hapa:http://41.93.31.136:8080/Selections kufanya Confirmation au LOGIN kwenye kuangalia Profile yako :http://41.93.31.135:8080/health
NAWASILISHA.
Mnaweza ingia hapa:http://41.93.31.136:8080/Selections kufanya Confirmation au LOGIN kwenye kuangalia Profile yako :http://41.93.31.135:8080/health
NAWASILISHA.