Mwisho Mwampamba kufukuzwa Namibia

Umeoa na wewe umehamia hukohuko... chukua mke lete nyumbani ndio heshima.!!
 
kuoa si issue unaweza ukawa umeoa ila hujaprocess document za uraia perhaps!!! fata sheria kama huna docs sheria ni msumeno!!
 


kwani kwani huku kwetu ukioa unahamia? Rudi kwenu isije ikawa umeoa na badala yake ukaolewa!
 
mwisho ndo alimfanya ray C abwie unga. na haoni tatizo kuwaharibu watoto wa watu. kufukuzwa huko kuna jambo sema hawezi jiongelea mapungufu yake. mia

mwisho na lord eyes vinafanana?Ray c kamtaja Mteja mwenzie Lord eyes we unamsingizia Mwisho.Inahu?
 
Huyu mwisho yupo Arusha anazururaga Na tapel moja halfcast anaitwa john Balletto. Wapo kwenye utalii.
 
huyu mwisho nilimkuta arusha kwenye saloon flani hivi wanavuta bangi tu.
 
Mwisho niwahovyo haijawahi kutokea kwasasa anahaha na bibi moja hivi anamsumbua balaa kindondoni kwenyewe ghetto alilokua kapanga walimtimua shida tupu
 
Mwisho niwahovyo haijawahi kutokea kwasasa anahaha na bibi moja hivi anamsumbua balaa kindondoni kwenyewe ghetto alilokua kapanga walimtimua shida tupu
πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜…πŸ˜†πŸ˜πŸ˜„πŸ˜ƒπŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…