Mwisho wa DUNIA ni kesho tarehe 23-09-2017

Hakuna vita ya nuklia, NK, watadhibitiwa bila ya hata makombora. Mungu yuko katika control. Everything is under GOD,S control.
 
Mkuu hiyo tarehe ni ya mwaka huu, au mwakani?
 
Wasabato ndio watakao amino tu,kwani wao huwa wanatabiri tangu enzi za Alen
 
Na ikipita hiyo tarehe .ohoo
 
Si unaamini kwamba kila chenye mwanzo kina mwisho? Ninaamini vitu vyote havikuanza kwa wakati mmoja hivyo hakuna mwisho wa pamoja. Mwisho wako ni wako peke yako, usisubiri wa pamoja. Huenda kuna vitu havina mwanzo kama jua, basi halina mwisho, sasa dunia ikifika mwisho jua litaangazia wapi? Labda ikifika siku sayari zikagongana ndizo mwisho lakini jua lipo palepale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…