MWISHO WA KUHAMIA DODOMA

MWISHO WA KUHAMIA DODOMA

IMG_2796.jpeg
ni taarifa za juu sio chini mkuu
 
Mbona inasemekana kuhama (Transfer) kwenda mkoa mwingine kwenye pepmis ess hauchagui taasisi isipokuws unachagua mkoa alafu wao wanakupangia taasisi vipi kama nikipelekwa mpwapwa huko
 
Mbona inasemekana kuhama (Transfer) kwenda mkoa mwingine kwenye pepmis ess hauchagui taasisi isipokuws unachagua mkoa alafu wao wanakupangia taasisi vipi kama nikipelekwa mpwapwa huko
Ok kuna Transfer za aina tatu au nne pale kwenye ESS kuna Transfer to Region, Vacancy request, na Exchange nadhani rahisi kuliko zote ni Transfer to region mfano DODOMA alafu kuna kibox unaweka kitiki kama hutaki kwenda local government yaani unataka kutoka kwenye taasisi moja kwenda taasisi nyingine

Sasa iko hivi, Kuhama kwenda taasisi ambayo huijui ni changamoto ila taasisi nyingi zipo Dodoma mjini kwa maana ya kwamba ni ngumu kupelekwa kiteto ukiweka kile kitiki kwamba taasisi mpya isiwe chini ya LGAs
 
Ok kuna Transfer za aina tatu au nne pale kwenye ESS kuna Transfer to Region, Vacancy request, na Exchange nadhani rahisi kuliko zote ni Transfer to region mfano DODOMA alafu kuna kibox unaweka katika kama hutaki kwenda local government yaani unataka kutoka kwenye taasisi moja kwenda taasisi nyingine

Sasa iko hivi, Kuhama kwenda taasisi ambayo huijui ni changamoto ila taasisi nyingi zipo Dodoma mjini kwa maana ya kwamba ni ngumu kupelekwa kiteto ukiweka kile kitiki kwamba taasisi mpya isiwe chini ya LGAs
Huu ni mtihani
 
Ok kuna Transfer za aina tatu au nne pale kwenye ESS kuna Transfer to Region, Vacancy request, na Exchange nadhani rahisi kuliko zote ni Transfer to region mfano DODOMA alafu kuna kibox unaweka kitiki kama hutaki kwenda local government yaani unataka kutoka kwenye taasisi moja kwenda taasisi nyingine

Sasa iko hivi, Kuhama kwenda taasisi ambayo huijui ni changamoto ila taasisi nyingi zipo Dodoma mjini kwa maana ya kwamba ni ngumu kupelekwa kiteto ukiweka kile kitiki kwamba taasisi mpya isiwe chini ya LGAs
Mkuu kiteto imeingiaje hapa..[emoji2] jokes
 
Back
Top Bottom