Mwisho wa mwanamke kuzaa

Mwisho wa mwanamke kuzaa

Mwagitho

Senior Member
Joined
Oct 11, 2013
Posts
111
Reaction score
38
nilikuwa nauliza mwanamke hufika kikomo kuingia mwezini akiwa na umri gani? au kushindwa kuzaa
 
40 kwendelea kuna halahala kuzaa......kwani we miaka mingapi? nimuulize doctor hapa,
 
Yule Halle Berry kajifungua juzi akiwa na miaka 47, hakutegemea kama bado alikuwa ana uwezo wa kupata ujauzito tena kwa kuwa na umri mkubwa. Hivi karibuni nilisoma mahali mama mmoja ambaye alidai kuwa na miaka 55 aliandika kwamba haoni dalili zozote za menopause bado hali yake kule kunako anaiona kama alipokuwa enzi za ujana wake na anahisi bado ana uwezo wa kushika mimba. Nadhani inategemea pia na vitu kama genes, mtu alivyojitunza katika maisha yake ikiwemo kula vizuri, mazoezi n.k.

UK woman, 59, world's oldest natural mother - Telegraph

Mr Otway told the News of the World: "All of the family have got young genes. I'm 33 and some people say I look about 24, 25 - and I'm quite happy with that. My sister's 39 and only looks about 27.


nilikuwa nauliza mwanamke hufika kikomo kuingia mwezini akiwa na umri gani? au kushindwa kuzaa
 
mke wangu ana miaka 41 ana mtoto mmoja nina wasiwasi kama huko mbeleni ataweza kunizalia watoto wengine
 
Miaka 41 bado ana uwezo wa kushika mimba kama hana matatizo yoyote ya kiafya ambayo yanaweza kuzuia kwa namna moja au nyingine ujauzito wake, chakarikeni.

mke wangu ana miaka 41 ana mtoto mmoja nina wasiwasi kama huko mbeleni ataweza kunizalia watoto wengine
 
Haaaaaaaaaaaaaaaaaaa chakarikeni waombe na ruhusa kazini wachakarike ucku na mchana looooooooo
 
nimemuoa akiwa na miaka 33 akaja kuzaa akiwa na 35
 
Ana cease after menopause

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Inategemea na mwanamke,wengine wanawahi menopose wengine wanachelewa.mwambie aulizie upande wa mama yake alikoma hedhi akiwa na umri gani.
 
Nijuavyo mimi miaka 45 kwa walio wengi ni kikomo
 
na jee kama akikomaa hezi huwa anaendele kuwa kama yuleyule wa zamani au mambo yanabadirika
 
Yule Halle Berry kajifungua juzi akiwa na miaka 47, hakutegemea kama bado alikuwa ana uwezo wa kupata ujauzito tena kwa kuwa na umri mkubwa. Hivi karibuni nilisoma mahali mama mmoja ambaye alidai kuwa na miaka 55 aliandika kwamba haoni dalili zozote za menopause bado hali yake kule kunako anaiona kama alipokuwa enzi za ujana wake na anahisi bado ana uwezo wa kushika mimba. Nadhani inategemea pia na vitu kama genes, mtu alivyojitunza katika maisha yake ikiwemo kula vizuri, mazoezi n.k.

UK woman, 59, world's oldest natural mother - Telegraph

Mr Otway told the News of the World: "All of the family have got young genes. I'm 33 and some people say I look about 24, 25 - and I'm quite happy with that. My sister's 39 and only looks about 27.

Mke wa ibrahimu, sarai alizaa akiwa na miaka 90, hiyo ni kwa watu wenye imani. Kwa kawaida wanawake wengi hufika kikomo cha kuingia mwezini wakiwa na miaka 45 mpaka 50 inategemeana wakati wengine wanaenda zaidi ya miaka 50 kama vile tunavyoongelea kubalehe kuna mwingine miaka 8 ameshavunja ungo wakati mwingine mpaka miaka 14.
 
Na wakati huo watu walikuwa wakiishi muda mrefu, sasa 90 ya leo mchezo?????? inawezekana asilimia 2% au chini ndio wanaweza gonga 90 tena tia maji tia maji, Siku mzima wiki 4 mgonjwa mtazame kijana wa soweto!!!




Mke wa ibrahimu, sarai alizaa akiwa na miaka 90, hiyo ni kwa watu wenye imani. Kwa kawaida wanawake wengi hufika kikomo cha kuingia mwezini wakiwa na miaka 45 mpaka 50 inategemeana wakati wengine wanaenda zaidi ya miaka 50 kama vile tunavyoongelea kubalehe kuna mwingine miaka 8 ameshavunja ungo wakati mwingine mpaka miaka 14.
 
Madoctor watanisahihisha; nimewahi sikia kuwa issue ni kubwa kama huna mtoto kabisa...lakini kama ulishazaa wengi wanazaa watoto wa pili au watatu hata na 45 ingawa mimba zinawachosha....ni mbaya kutokuwa na mtoto kabisa ukiwa tayari ni 35+...
mke wangu ana miaka 41 ana mtoto mmoja nina wasiwasi kama huko mbeleni ataweza kunizalia watoto wengine
 
mtoto wenu atakuwa na more than 5 years...je kuna tatizo lingine kama kuchelewa kupata ujauzito? Maana muda ni mrefu toka 35 hadi 40 kama mlikuwa na mpango wa mtoto wa pili mlipaswa muwe naye...kama kupata mimba ni isuue basi kwa huo umri mkubali kuwa na mtoto mmoja.
nimemuoa akiwa na miaka 33 akaja kuzaa akiwa na 35
 
mke wangu ana miaka 41 ana mtoto mmoja nina wasiwasi kama huko mbeleni ataweza kunizalia watoto wengine

Mke wako ana mtoto mmoja? Siyo wako? ..or you meant mna mtoto mmoja?

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom