Huyu lazima atakuwa either bonge moja la chapombe au mdeni sugu a.k.a loan officer na ukute anadaiwa hadi na mangi ingawaje mangi hakopeshi.kuepuka usumbufu ngoja atie pozi hapo hata wanayemdai wakija na wanajeshi achilia mbali polisi nguvu lazima zikuishie.anyway bonge moja la ubunifu.